Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Ukosoaji wa Wapalestina kwa utendaji dhaifu wa UNRWA

    Ukosoaji wa Wapalestina kwa utendaji dhaifu wa UNRWA

    Mar 21, 2016 00:20

    Ali Baraka, mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS nchini Lebanon amekosoa utendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) kuhusiana na wananchi wa Palestina.

  • Israeli yazidisha hujuma dhidi ya vyombo vya habari Palestina

    Israeli yazidisha hujuma dhidi ya vyombo vya habari Palestina

    Mar 19, 2016 04:20

    Shirika moja la kutetea uhuru wa kujieleza na haki za waandishi wa habari limefichua kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeshadidisha hujuma zake dhidi ya taasisi hiyo muhimu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Jamii ya kimataifa yaendelea kuilaani Israel kwa kupora ardhi zaidi za Palestina

    Jamii ya kimataifa yaendelea kuilaani Israel kwa kupora ardhi zaidi za Palestina

    Mar 19, 2016 00:03

    Umoja wa Ulaya umejiunga na Umoja wa Mataifa katika kulaani hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupora ardhi zaidi za Wapalestina.

  • Uanachama rasmi wa Palestina katika Mahakama ya Kudumu ya Usuluhishi (PCA)

    Uanachama rasmi wa Palestina katika Mahakama ya Kudumu ya Usuluhishi (PCA)

    Mar 16, 2016 03:23

    Palestina imekuwa mwanachama rasmi wa Mahakama ya Kudumu ya Usuluhishi (PCA) yenye makao yake mjini The Hague, Uholanzi.

  • Israel yanyakua ardhi zaidi za Wapalestina

    Israel yanyakua ardhi zaidi za Wapalestina

    Mar 15, 2016 23:27

    Israel imenyakua kipande kikubwa cha ardhi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan hatua ambayo inakiuka sheria za kimataifa zinazoitaka iache kujitanua katika ardhi za Wapalestina.

  • Wazayuni wamzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia kuingia Palestina

    Wazayuni wamzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia kuingia Palestina

    Mar 13, 2016 21:54

    Utawala wa kizayuni wa Israel umemzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia, Retno Marsudi kuingia katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, ambapo alitazamiwa kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Palestina.

  • Mtoto Mpalestina auawa shahidi Gaza katika hujuma ya Israel

    Mtoto Mpalestina auawa shahidi Gaza katika hujuma ya Israel

    Mar 12, 2016 04:46

    Mtoto Mpalestina aliyekuwa na umri wa miaka 10 ameuawa shahidi katika hujuma mpya ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Mwanamasumbwi wa Iran akataa kuzipiga na mwenzake wa Israel, aungana na Wapalestina

    Mwanamasumbwi wa Iran akataa kuzipiga na mwenzake wa Israel, aungana na Wapalestina

    Mar 10, 2016 22:44

    Mchezaji wa timu ya taifa ya ndondi ya Iran amekataa kupigana na nchezaji wa ndondi wa utawala haramu wa Israel katika mashindano ya kimataifa ya ndondi ya Njia ya Hariri yanayofanyika Baku nchini Azerbaijan akionyesha uungaji mkono wake kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina

  • Nchi za Kiislamu zataka bidhaa za Israel zisusiwe kimataifa

    Nchi za Kiislamu zataka bidhaa za Israel zisusiwe kimataifa

    Mar 08, 2016 22:18

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa wito wa kususiwa bidhaa za zinazozalishwa na utawala haramu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • HAMAS kuendeleza juhudi za kuleta umoja baina ya Wapalestina

    HAMAS kuendeleza juhudi za kuleta umoja baina ya Wapalestina

    Mar 07, 2016 23:42

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema harakati hiyo itaendelea kufanya juhudi ili ufikiwe umoja na kukombolewa ardhi zote za Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS