-
Bahamas yaitambua rasmi Palestina kama nchi
May 08, 2024 08:22Wizara ya Mambo ya Nje ya Bahamas imetangaza rasmi kuwa inaitambua rasmi Palestina kama nchi.
-
OIC yataka Israel ibebeshwe dhima kwa jinai dhidi ya Wapalestina
May 06, 2024 03:42Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua na kuubebesha dhima utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Polisi waondoa kambi ya waungaji mkono wa Palestina katika Chuo Kikuu cha California Kusini
May 06, 2024 01:09Polisi wa Los Angeles huko Marekani wameondoa kambi ya watu wanaoiunga mkono Palestina pambizoni mwa uwanja wa chuo kikuu cha California kusini.
-
Kiongozi wa HAMAS: Makubaliano ya usitishaji vita lazima yakomeshe uchokozi wa utawala wa Israel
May 05, 2024 23:03Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, harakati hiyo inataka kufikia makubaliano kamili na jumuishi ili kukomesha uchokozi wa utawala ghasibu wa Kizayuni.
-
Sisitizo la Iran kuhusu Palestina kupewa uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa
May 04, 2024 23:37Amir Saeid Iravani, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza umuhimu wa Palestina kuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa.
-
Iran: Palestina inapaswa kuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa
May 03, 2024 00:47Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kukubaliwa Palestina kama mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa.
-
Colombia yaamua kuvunja uhusiano na Israel kwa sababu ya mauaji ya kimbari ya Ghaza
May 01, 2024 23:55Colombia imeamua kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na vita vya kinyama na mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
-
UN: Ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya watetezi wa Palestina unatia wasiwasi
May 01, 2024 03:49Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasiwasi wake juu ya unyanyasaji wa polisi wa Marekani dhidi ya wanafunzi wanaoiunga mkono Palestina.
-
Maandamano ya kuiunga mkono Palestina yaendelea katika miji tofauti duniani
May 01, 2024 03:20Wananchi wa miji tofauti ya dunia kwa mara nyingine wameandamana kuwatetea wananchi madhulumu wa Palestina na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Vituo vya utafiti vya Ulaya vyaiunga mkono Palestina na kuiwekea vikwazo Israel
Apr 30, 2024 07:41Vituo vya utafiti barani Ulaya vimeuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni na kuunga mkono malengo ya Palestina. Viituo hivyo vya utafiti vya Ulaya pia vimelaani jinai za utawala huo unaotekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Gaza.