• Iran: Utawala wa Kizayuni unapanda upepo, ujue utavuna kimbunga

    Iran: Utawala wa Kizayuni unapanda upepo, ujue utavuna kimbunga

    Jun 22, 2023 06:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Palestina kwamba, jinai za utawala huo dhalimu na uhalifu wake unazidi kuipunguzia uhai Israel katika ramani ya dunia.

  • Spika wa Bunge la Tunisia asifu misimamo ya kimapinduzi ya Iran kuhusu suala la Palestina.

    Spika wa Bunge la Tunisia asifu misimamo ya kimapinduzi ya Iran kuhusu suala la Palestina.

    Jun 22, 2023 03:38

    Spika mpya wa Baraza la Wawakilishi la Tunisia ameshukuru na kusifu misimamo chanya na ya kimapinduzi ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina na kusisitiza utayarifu wa nchi yake wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 3 kwa droni Ukingo wa Magharibi

    Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 3 kwa droni Ukingo wa Magharibi

    Jun 22, 2023 03:24

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limeendeleza umwagaji damu kwa kuwaua shahidi Wapalestina watatu katika shambulizi la ndege isiyo na rubani (droni) huko kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Wazayuni kadhaa waangamizwa katika shambulizi la kulipiza kisasi

    Wazayuni kadhaa waangamizwa katika shambulizi la kulipiza kisasi

    Jun 21, 2023 08:38

    Makundi ya muqawama ya Palestina yamefanya operesheni ya ulipizaji kisasi na kuwaangamiza Wazayuni wanne na kujeruhi wengine wanne karibu na Ramallah katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Lieberman atoa wito wa kurejeshwa kwa sera ya mauaji ya kigaidi Ukanda wa Gaza

    Lieberman atoa wito wa kurejeshwa kwa sera ya mauaji ya kigaidi Ukanda wa Gaza

    Jun 20, 2023 04:06

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amelitaka jeshi la utawala huo kutekeleza tena sera ya kuwaua kigaidi makamanda wa harakati za mapambano ya ukombozii ya Palestina katika Ukanda wa Gaza na kutekeleza operesheni kubwa za kijeshi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wazayuni: Mapigano yalikuwa makali Jenin, tumehisi kama tunakabiliana na Hizbullah ya Lebanon

    Wazayuni: Mapigano yalikuwa makali Jenin, tumehisi kama tunakabiliana na Hizbullah ya Lebanon

    Jun 19, 2023 23:46

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimelazimika kukiri kwamba mapambano yaliyotokea jana Jumatatu kwenye mji wa Jenin huko Palestina yalikuwa tata na ya kipekee kutoka kwa wanamapambano wa Palestina.

  • Wazayuni wanataka kuwakatisha tamaa vijana wa Palestina

    Wazayuni wanataka kuwakatisha tamaa vijana wa Palestina

    Jun 19, 2023 07:27

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akizungumza leo Jumatatu mjini Tehran katika kikao na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na ujumbe alioandamana nao wa viongozi wa harakati hiyo amesisitiza kuwa, Wazayuni wanataka kuwakatisha tamaa vijana wa Palestina.

  • Jeshi la Israel laua na kujeruhi makumi ya Wapalestina Jenin

    Jeshi la Israel laua na kujeruhi makumi ya Wapalestina Jenin

    Jun 19, 2023 07:03

    Jeshi la utawala wa Kizayuni Israel limeua na kujeruhi makumi ya Wapalestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • "Uporaji wa ardhi wa Israel, sababu kuu ya matatizo ya Wapalestina"

    Jun 17, 2023 07:37

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema kuporwa na kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina kunakofanywa na utawala ghasibu wa Israel ndiyo sababu kubwa ya kukumbwa na matatizo jamii ya Wapalestina katika kila sekta.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Adui Mzayuni amechanganyikiwa

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Adui Mzayuni amechanganyikiwa

    Jun 17, 2023 02:46

    Akizungumza karibuni na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na ujumbe aliofuatana nao, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema hali ya sasa ya utawala wa Kizayuni wa Israel inatofautiana sana na ya miaka sabini iliyopita na kusisitiza: Hii leo adui Mzayuni yuko katika hali ya kutojua la kufanya na hali hii inaonyesha kuwa Jihad Islami ya Palestina na makundi mengine ya mapambano yametambua vyema njia ya kufuata na yanasonga mbele kwa busara.