Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani asisitiza haja ya kuimarishwa uhusiano wa Iran na Afrika Kusini

    Rais Rouhani asisitiza haja ya kuimarishwa uhusiano wa Iran na Afrika Kusini

    Apr 27, 2021 13:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo suala la kuimarishwa uhusiano wa pande mbili wa taifa hili na Afrika Kusini katika nyuga anuai.

  • Rouhani: Iran inapanga kuzindua mchakato mpana wa chanjo ya COVID-19

    Rouhani: Iran inapanga kuzindua mchakato mpana wa chanjo ya COVID-19

    Apr 20, 2021 10:42

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema serikali ina mpango wa kuzindua mpango mkubwa wa chanjo ya COVID-19 au corona ili kulinda afya ya watu wote.

  • Rouhani: Taifa la Zimbabwe litavishinda vikwazo vya Marekani

    Rouhani: Taifa la Zimbabwe litavishinda vikwazo vya Marekani

    Apr 19, 2021 02:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia ujumbe wa pongezi mwenzake wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa kwa mnasaba wa Siku ya Uhuru wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, iliyoadhimishwa jana Jumapili.

  • Rouhani: Kuwepo Wazayuni katika kanda ya Asia Magharibi ni hatari kubwa

    Rouhani: Kuwepo Wazayuni katika kanda ya Asia Magharibi ni hatari kubwa

    Apr 14, 2021 07:55

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuwepo utawala wa Kizayuni wa Israel katika kanda hii ya Magharibi mwa Asia ni hatarii kubwa.

  • Rouhani: JCPOA imeipa uhalali sekta ya nyuklia ya Iran

    Rouhani: JCPOA imeipa uhalali sekta ya nyuklia ya Iran

    Apr 10, 2021 12:33

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema kupasishwa kwa makubaliano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA kuliipa uhalali kamili wa kisheria sekta ya nyuklia ya taifa hili.

  • Rouhani: Ni zamu ya kundi la 5+1 kutekeleza wajibu wake mkabala wa Iran

    Rouhani: Ni zamu ya kundi la 5+1 kutekeleza wajibu wake mkabala wa Iran

    Apr 01, 2021 11:40

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu imetekeleza barabara wajibu wake na kufungamana na ahadi zake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na hivi sasa ni zamu ya kundi la 5+1 kutekeleza jukumu lake.

  • Rouhani: Vikwazo dhidi ya taifa la Iran ni hatua isiyo ya kibinadamu

    Rouhani: Vikwazo dhidi ya taifa la Iran ni hatua isiyo ya kibinadamu

    Apr 01, 2021 06:55

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuendelezwa vikwazo dhidi ya taifa la Iran ni hatua isiyo ya kibinadamu.

  • Rais Rouhani: Endapo Marekani itatekeleza ahadi zake, sisi pia tutafanya hivyo

    Rais Rouhani: Endapo Marekani itatekeleza ahadi zake, sisi pia tutafanya hivyo

    Mar 31, 2021 11:50

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo kutakuwa na azma imara na Marekani ikarejea katika mazingira ya kabla ya vikwazo, sisi pia siku hiyo hiyo tutaanza kutekeleza ahadi zetu.

  • Rais Rouhani: 1400; mwaka wa ustawi wa kiuchumi Iran na mwisho wa kipindi kizito cha vita vya kiuchumi

    Rais Rouhani: 1400; mwaka wa ustawi wa kiuchumi Iran na mwisho wa kipindi kizito cha vita vya kiuchumi

    Mar 21, 2021 12:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ni jambo lisilo na shaka kwamba mwaka 1400 Hijria Shamsia utakuwa mwanzo wa ustawi mpya wa kiuchumu humu nchini na kuanza kuzaa matunda muqawama wa miaka mitatu wa taifa katika vita vya kiuchumi tulivyotwishwa na adui.

  • Rais Rouhani: Kusimama imara taifa la Iran kumepelekea kushindwa maadui

    Rais Rouhani: Kusimama imara taifa la Iran kumepelekea kushindwa maadui

    Mar 20, 2021 14:25

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema leo katika ujumbe maalumu kwa mnasaba wa kuwadia mwaka mpya wa Kiirani wa 1400 Hijria Shamisa kwamba kusimama imara taifa la Iran kumepelekea kushindwa maadui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS