-
Rais Rouhani: Siku ya Kimataifa ya Quds ni siku ya kuhuisha kadhia ya Palestina
Jun 21, 2017 09:30Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds ni siku ya kuhuisha suala la Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Rouhani: Ugaidi eneo la Mashariki ya Kati ni sehemu ya ajenda ya Israel
Jun 21, 2017 03:14Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema operesheni na harakati za kigaidi zinazoshuhudiwa katika eneo hili la Mashariki ya Kati ni sehemu ya ajenda ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa lengo la kuwashughulisha watu ili wasahau kadhia muhimu ya Palestina.
-
Iran kuendelea kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika
Jun 21, 2017 03:00Rais Hassan Rouhani wa Iran amesisitiza kuwa, ni katika sera zilizo madhubuti za nchi hii kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika.
-
Iran itatoa jibu kali kwa magaidi wanaopania kufanya mashambulizi nchini
Jun 20, 2017 23:34Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatoa jibu kali zaidi kwa magenge ya kigaidi yatakayojaribu kuleta chokochoko na kufanya mashambulizi ndani ya ardhi ya nchi hii.
-
Wachezaji na uongozi wa timu ya taifa ya soka ya Iran wakutana na Rais Rouhani
Jun 14, 2017 11:04Wachezaji na uongozi wa timu ya taifa ya soka ya Iran wamekutana na Rais Hassan Rouhani.
-
Rouhani: Iran daima imekuwa mstari wa mbele kupambana na ugaidi
Jun 13, 2017 23:49Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini, Iran ilikabiliana na wimbi la ugaidi na kupoteza maelfu ya mashahidi, na kwamba daima imekuwa mstari wa mbele kupambana na ugaidi.
-
Rais Rouhani: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni matunda ya uelewa na kuwa karibu na Qur'ani
Jun 11, 2017 03:33Rais Hassan Rouhani amesema Mapinduzi ya Kiislamu ni matunda ya uelewa na kuwa na karibu na Qur'ani na kuongeza kuwa Mapinduzi ya Kiislamu yamesimama juu ya msingi wa kufuata watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume SAW waliolelewa kwenye Chuo cha mafundisho ya Qur'ani.
-
Rais Rouhani: Iran na Syria zinashirikiana kuangamiza ugaidi
Jun 09, 2017 00:02Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mapambano halisi na ya kweli dhidi ya ugaidi na kurejesha amani ya kudumu katika eneo la Mashaiki ya Kati ni lengo la pamoja la Iran na Syria.
-
Rouhani: Iran itajibu mapigo ya maadui kupitia umoja na mshikamano
Jun 08, 2017 02:23Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itasambaratisha njama za maadui kupitia umoja na mshikamano wa wananchi wa taifa hili.
-
Rouhani asisitizia udharura wa kufuatwa njia na malengo ya Imam Khomeini
Jun 04, 2017 03:32Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito kwa watu wa matabaka yote kujifunza kuhusu malengo, azma na maono ya Imam Ruhullah Khomeini MA, muasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu.