Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rouhani: Iran haitachukua idhini kwa yeyote kuunda makombora na ndege

    Rouhani: Iran haitachukua idhini kwa yeyote kuunda makombora na ndege

    Apr 15, 2017 09:30

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii imekuwa muathirika wa hujuma ya kiuoga na kwa msingi huo haitachukua idhini kutoka kwa yeyote katika kuimarisha vikosi vyake vya ulinzi hasa uundaji wa makombora na ndege za kivita.

  • Shakhsia wakubwa wa kisiasa na kidini Iran waandikisha majina yao kugombea urais; yumo Rais Rouhani na Raisi

    Shakhsia wakubwa wa kisiasa na kidini Iran waandikisha majina yao kugombea urais; yumo Rais Rouhani na Raisi

    Apr 14, 2017 11:44

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesajili jina lake kwenye Tume ya Uchaguzi kama mgombea wa duru ya 12 ya uchaguzi wa rais nchini.

  • Rouhani: Ushiriki mkubwa katika uchaguzi wa Iran utatuma ujumbe wa umoja na izza kwa ulimwengu

    Rouhani: Ushiriki mkubwa katika uchaguzi wa Iran utatuma ujumbe wa umoja na izza kwa ulimwengu

    Apr 11, 2017 12:07

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema ushiriki mkubwa wa wananchi katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao utawadhihirishia walimwengu namna Jamhuri ya Kiislamu ni taifa lenye izza, umoja na mshikamano.

  • Rais Rouhani: Shambulio la Marekani Syria lilikuwa kwa ajili ya kufidia kushindwa kwa magaidi

    Rais Rouhani: Shambulio la Marekani Syria lilikuwa kwa ajili ya kufidia kushindwa kwa magaidi

    Apr 10, 2017 10:27

    Rais Hassan Rouhani amelaani shambulio la makombora lililofanywa na Marekani nchini Syria na kueleza kuwa: Shambulio hilo limefanywa kufidia kushindwa kwa magaidi nchini Syria na limewahamasisha magaidi hao kuendelea kufanya jinai zao nchini humo.

  • Rouhani na Putin walaani vikali mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria

    Rouhani na Putin walaani vikali mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria

    Apr 09, 2017 23:29

    Rais Hassan Rouhani wa Iran na mwenzake wa Russia Vladimir Putin wamelaani vikali hatua ya Marekani ya kukishambulia kituo cha kijeshi cha Syria kwa makombora na kusema kuwa kitendo hicho kilifanyika ili kuyapa motisha na kuyaunga mkono magenge ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Mazungumzo ya Simu ya Marais Rouhani wa Iran na Assad wa Syria

    Mazungumzo ya Simu ya Marais Rouhani wa Iran na Assad wa Syria

    Apr 09, 2017 09:36

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine amelani uvamizi wa Marekani katika nchi huru ya Syria na kuitaja hatua hiyo kuwa ukiukwaji wa sheria na mikataba ya Umoja wa Mataifa.

  • Rouhani: Teknolojia ya Nyuklia ni dharura kwa Iran

    Rouhani: Teknolojia ya Nyuklia ni dharura kwa Iran

    Apr 09, 2017 09:21

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Teknolojia ya nyuklia ni dharura kwa taifa la Iran na sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelelezwa hii teknolojia ni sisitizo sahihi."

  • Mafanikio mapya ya nyuklia ya Iran yazinduliwa na Rais Rouhani

    Mafanikio mapya ya nyuklia ya Iran yazinduliwa na Rais Rouhani

    Apr 09, 2017 02:57

    Mafanikio ya karibuni ya nyuklia ya Iran yamezinduliwa na Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Siku ya Taifa ya Teknolojia ya Nyuklia.

  • Rouhani: Marekani inajifanya polisi na jaji wa dunia

    Rouhani: Marekani inajifanya polisi na jaji wa dunia

    Apr 08, 2017 03:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amelaani shambulio la Marekani katika kambi ya jeshi la anga nchini Syria na kusema kuwa, Washington inajifanya polisi na jaji wa dunia.

  • Usafirishaji nje bidhaa za Iran wapiku kiwango cha uingizaji bidhaa kutoka nje

    Usafirishaji nje bidhaa za Iran wapiku kiwango cha uingizaji bidhaa kutoka nje

    Apr 06, 2017 10:18

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa mwaka jana, kiwango cha usafirishaji nje bidhaa za Iran kimekipiku kiwango cha kuingiza bidhaa kutoka nje ikiwa ni mara ya kwanza katika historia ya miaka 63 ya uchumi wa Iran. Amesema, hayo ni katika matunda mazuri ya uchumi wa muqawama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS