Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani: Kutokomeza ugaidi kunahitaji juhudi za jamii ya kimataifa

    Rais Rouhani: Kutokomeza ugaidi kunahitaji juhudi za jamii ya kimataifa

    Apr 04, 2017 11:46

    Rais Hassan Rouhani amelaani shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu uliotokea kwenye treni ya chini ya ardhi katika mji wa St. Petersburg nchini Russia na kusisitiza kuwa kuutokomeza ugaidi kunahitaji juhudi za jamii ya kimataifa.

  • Rouhani: Moja ya malengo ya uchumi wa muqawama ni kutotetereshwa kiuchumi

    Rouhani: Moja ya malengo ya uchumi wa muqawama ni kutotetereshwa kiuchumi

    Apr 03, 2017 11:36

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kusimama imara na kutotetershwa na mashinikizo ya nchi ajinabi ni moja ya malengo ya uchumi wa muqawama.

  • Rais Rouhani: Uenezaji chuki dhidi ya Uislamu na fikra za ukufurishaji vina chimbuko moja

    Rais Rouhani: Uenezaji chuki dhidi ya Uislamu na fikra za ukufurishaji vina chimbuko moja

    Mar 28, 2017 22:27

    Rais Hassan Rouhani amesema uenezaji hofu na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), ubaguzi wa rangi na fikra za ukufurishaji chimbuko lao ni moja.

  • Marais wa Iran na Russia wasisitiza kustawishwa uhusiano wa nchi mbili

    Marais wa Iran na Russia wasisitiza kustawishwa uhusiano wa nchi mbili

    Mar 28, 2017 12:11

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na mwenzake wa Russia kuwa lengo la Iran na Russia ni kuimarisha amani na utulivu katika eneo.

  • Rouhani: Ushirikiano wa Iran, Russia unaweza kuleta usalama kieneo na kimataifa

    Rouhani: Ushirikiano wa Iran, Russia unaweza kuleta usalama kieneo na kimataifa

    Mar 27, 2017 23:21

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano wa Tehran na Moscow unazidi kustawi na kuongeza kuwa, Iran inakaribisha kuimarishwa uhusiano wa kina na nchi jirani ikiwa ni pamoja na Russia.

  • Rouhani: Uhusiano wa Iran na Russia ni kwa manufaa ya eneo hili zima

    Rouhani: Uhusiano wa Iran na Russia ni kwa manufaa ya eneo hili zima

    Mar 27, 2017 09:00

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili leo Moscow, mji mkuu wa Russia akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa Iran kwa ajili ya ziara rasmi ya siku mbili.

  • Rais Rouhani: Mwaka mpya ni mwaka wa maendeleo na ajira zaidi kwa vijana

    Rais Rouhani: Mwaka mpya ni mwaka wa maendeleo na ajira zaidi kwa vijana

    Mar 20, 2017 11:39

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa ujumbe kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1396 Hijria Shamsia akisisitiza kwamba, ili kuwa na Iran yenye heshima na fahari, kuna ulazima wa kushikamana na kuwa pamoja.

  • Rais Rouhani: Tutaendeleza

    Rais Rouhani: Tutaendeleza "uchumi wa muqawama" kwa nguvu zote

    Mar 15, 2017 13:03

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hatua zilizochukuliwa na serikali yake za kufanikisha "uchumi wa muqawama" unaotegemea uwezo wa ndani ya Iran ni nzuri na ameahidi kuimarisha miundombinu ya uchumi huo.

  • Rais Rouhani: Vita vya sasa katika nyuga mbalimbali ni Vita vya Irada

    Rais Rouhani: Vita vya sasa katika nyuga mbalimbali ni Vita vya Irada

    Mar 08, 2017 12:54

    Rais Hassan Rouhani amesema hakuna silaha yoyote iliyo kubwa zaidi kuliko silaha ya imani, muqawama na umoja wa wananchi na akabainisha kwamba vita vya sasa katika nyuga mbalimbali ni vita vya irada.

  • Rais Rouhani: Chaguzi nchini Iran hufanyika kwa uhuru, salama, ushindani na demokrasia

    Rais Rouhani: Chaguzi nchini Iran hufanyika kwa uhuru, salama, ushindani na demokrasia

    Mar 07, 2017 12:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguzi nchini Iran hufanyika katika mazingira huru, salama, ya ushindani na kidemokrasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS