Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani ampokea rasmi Waziri Mkuu wa Sweden

    Rais Rouhani ampokea rasmi Waziri Mkuu wa Sweden

    Feb 11, 2017 04:12

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran muda mchache uliopita amempokea rasmi katika ikulu ya Saad Abad mjini Tehran Stefan Löfven Waziri Mkuu wa Sweden aliyekuja hapa nchini kwa safari rasmi ya kikazi.

  • Rais Rouhani: Jibu la wananchi wa Iran kwa vitisho vya adui litakuwa kali

    Rais Rouhani: Jibu la wananchi wa Iran kwa vitisho vya adui litakuwa kali

    Feb 10, 2017 12:26

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Iran kamwe hawajaondoka katika njia na harakati ya kuyaunga mkono Mapinduzi ya Kiislamu na kutimiza malengo ya Imam Ruhullah Khomeini na Kiongozi wa sasa wa Mapinduzi, Ayatullah Ali Khamenei.

  • Rouhani: Uwezo wa kijeshi wa Iran ni kwa ajili ya kujihami

    Rouhani: Uwezo wa kijeshi wa Iran ni kwa ajili ya kujihami

    Feb 10, 2017 04:57

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema uwezo mkubwa wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ni kwa ajili ya kujihami na kulilinda taifa hili kutokana na chockochoko za maadui.

  • Rouhani: NAM iungane dhidi ya misimamo mikali ya upande mmoja

    Rouhani: NAM iungane dhidi ya misimamo mikali ya upande mmoja

    Feb 09, 2017 04:00

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo ushirikiano zaidi baina ya nchi wananchama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM, akisisitiza kuwa mataifa huru yanafaa kuungana dhidi ya madola yenye kupenda kutoa maamuzi ya upande mmoja na misimamo ya kuchupa mipaka.

  • Rouhani: Makubaliano ya nyuklia ya Iran ni kwa maslahi ya pande zote

    Rouhani: Makubaliano ya nyuklia ya Iran ni kwa maslahi ya pande zote

    Feb 07, 2017 11:34

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makubaliano ya nyuklia kati ya Tehran na kundi la 5+1 ni kwa maslahi na manufaa ya pande zote zilizosaini mapatano hayo huko Vienna Julai mwaka 2015.

  • Rouhani: Iran inakaribisha kuimarika ushirikiano wake na Brazil

    Rouhani: Iran inakaribisha kuimarika ushirikiano wake na Brazil

    Feb 05, 2017 10:54

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono azma ya Brazil ya kutaka kuimarisha uhusiano na ushirikiano wake na Tehran katika nyuga tofauti.

  • Rouhani: Uongo wa madai ya Marekani ya kuwaunga mkono wananchi wa Iran umethibitika

    Rouhani: Uongo wa madai ya Marekani ya kuwaunga mkono wananchi wa Iran umethibitika

    Feb 01, 2017 13:05

    Rais Hassan Rouhani amesema kuwabatilishia viza raia wa mataifa mengine ni hatua inayochukuliwa na watu wanagenzi katika ulingo wa siasa na kusisitiza kwamba uamuzi mpya uliopitishwa na serikali ya Marekani umethibitisha kuwa madai yake ya kuwaunga mkono wananchi wa Iran ni uongo mtupu.

  • Rouhani: Ushirikiano wa kimataifa unahitajika kukabili ugaidi

    Rouhani: Ushirikiano wa kimataifa unahitajika kukabili ugaidi

    Feb 01, 2017 04:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano wa kimataifa unahitajika iwapo dunia inataka natija katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Kiwanda kikubwa zaidi cha kusaga nafaka Mashariki ya Kati chazinduliwa Iran

    Kiwanda kikubwa zaidi cha kusaga nafaka Mashariki ya Kati chazinduliwa Iran

    Jan 31, 2017 10:18

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua kiwanda kikubwa zaidi cha kusaga na kukoboa nafaka Mashariki ya Kati.

  • Rouhani: Iran sio nchi yenye hofu na chuki kwa wageni

    Rouhani: Iran sio nchi yenye hofu na chuki kwa wageni

    Jan 30, 2017 04:52

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itatumia muamala na uhusiano wake mzuri na nchi zingine kwa maslahi na manufaa ya taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS