Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Udiplomasia wa Rais Rouhani mjini New York;  ulazima wa kutekeleza kikamlifu mapatano ya nyukli

    Udiplomasia wa Rais Rouhani mjini New York; ulazima wa kutekeleza kikamlifu mapatano ya nyukli

    Sep 22, 2016 03:55

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika masaa yake ya awali akiwa mjini New York kwa ajili ya kuhutubu katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja za Mataifa, ametumia fursa hiyo kuzungumza na baadhi ya viongozi wa nchi za Ulaya.

  • UN yataka msaada wa Iran kuhusu migogoro ya Syria, Yemen

    UN yataka msaada wa Iran kuhusu migogoro ya Syria, Yemen

    Sep 22, 2016 00:55

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametaka msaada wa Iran katika kutafutia suluhisho la kudumu migogoro inayotokota Syria na Yemen.

  • Rais Rouhani: NAM inaweza kutatua matatizo ya dunia

    Rais Rouhani: NAM inaweza kutatua matatizo ya dunia

    Sep 17, 2016 23:17

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo ushirikiano zaidi baina ya nchi wananchama wa Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM.

  • Rouhani: Kila mtu ajitahidi kuleta amani na uthabiti duniani

    Rouhani: Kila mtu ajitahidi kuleta amani na uthabiti duniani

    Sep 16, 2016 09:53

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kila mtu anapaswa kujitahidi kuleta amani na uthabiti katika eneo na dunia nzima kwa jumla.

  • Rais Rouhani: Mazungumzo yatumike kutatua migogoro Mashariki ya Kati

    Rais Rouhani: Mazungumzo yatumike kutatua migogoro Mashariki ya Kati

    Sep 13, 2016 02:12

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema mazungumzo ya kisiasa yanaonyesha ufahamu ndio njia pekee za kutatua matatizo ya hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati hasa katika Ghuba ya Uajemi.

  • Rais Rouhani awatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za Idi

    Rais Rouhani awatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za Idi

    Sep 11, 2016 22:06

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu duniani salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Adha.

  • Rais Rouhani: Chimbuko la ugaidi katika eneo chanzo chake ni utendaji wa Marekani

    Rais Rouhani: Chimbuko la ugaidi katika eneo chanzo chake ni utendaji wa Marekani

    Aug 28, 2016 03:19

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema chimbuko na kuenea ugaidi katika Mashariki ya Kati ni matokeo ya utendaji wa Marekani katika vita dhidi ya Iraq na Afghanistan na mgogoro wa Syria.

  • Rais Rouhani na Spika Larijani wapongeza jitihada za Wizara ya Intelijinsia

    Rais Rouhani na Spika Larijani wapongeza jitihada za Wizara ya Intelijinsia

    Aug 18, 2016 09:37

    Rais wa Iran na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani bunge wamepongeza juhudi za pamoja za Wizara ya Intelijinsia katika kulinda amani na uthabiti na kukabiliana na vitisho.

  • Rouhani: Ugaidi kwa jina la Uislamu ni kwa faida ya maadui wa dini hii

    Rouhani: Ugaidi kwa jina la Uislamu ni kwa faida ya maadui wa dini hii

    Aug 08, 2016 03:15

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyakosoa vikali makundi ya kigaidi yanayoendeleza harakati zao za kikatili kwa jina la Uislamu na kusisitiza kuwa vitendo hivyo vinafanyika kwa maslahi na manufaa ya maadui na wanaoeneza chuki dhidi ya dini hiyo tukufu.

  • Rouhani: Kundi la 5+1 halitekelezi ipasavyo JCPOA

    Rouhani: Kundi la 5+1 halitekelezi ipasavyo JCPOA

    Aug 03, 2016 03:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za kundi la 5+1 hazitekelezi barabara makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS