-
Udiplomasia wa Rais Rouhani mjini New York; ulazima wa kutekeleza kikamlifu mapatano ya nyukli
Sep 22, 2016 03:55Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika masaa yake ya awali akiwa mjini New York kwa ajili ya kuhutubu katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja za Mataifa, ametumia fursa hiyo kuzungumza na baadhi ya viongozi wa nchi za Ulaya.
-
UN yataka msaada wa Iran kuhusu migogoro ya Syria, Yemen
Sep 22, 2016 00:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametaka msaada wa Iran katika kutafutia suluhisho la kudumu migogoro inayotokota Syria na Yemen.
-
Rais Rouhani: NAM inaweza kutatua matatizo ya dunia
Sep 17, 2016 23:17Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo ushirikiano zaidi baina ya nchi wananchama wa Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM.
-
Rouhani: Kila mtu ajitahidi kuleta amani na uthabiti duniani
Sep 16, 2016 09:53Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kila mtu anapaswa kujitahidi kuleta amani na uthabiti katika eneo na dunia nzima kwa jumla.
-
Rais Rouhani: Mazungumzo yatumike kutatua migogoro Mashariki ya Kati
Sep 13, 2016 02:12Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema mazungumzo ya kisiasa yanaonyesha ufahamu ndio njia pekee za kutatua matatizo ya hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati hasa katika Ghuba ya Uajemi.
-
Rais Rouhani awatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za Idi
Sep 11, 2016 22:06Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu duniani salamu za kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Adha.
-
Rais Rouhani: Chimbuko la ugaidi katika eneo chanzo chake ni utendaji wa Marekani
Aug 28, 2016 03:19Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema chimbuko na kuenea ugaidi katika Mashariki ya Kati ni matokeo ya utendaji wa Marekani katika vita dhidi ya Iraq na Afghanistan na mgogoro wa Syria.
-
Rais Rouhani na Spika Larijani wapongeza jitihada za Wizara ya Intelijinsia
Aug 18, 2016 09:37Rais wa Iran na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani bunge wamepongeza juhudi za pamoja za Wizara ya Intelijinsia katika kulinda amani na uthabiti na kukabiliana na vitisho.
-
Rouhani: Ugaidi kwa jina la Uislamu ni kwa faida ya maadui wa dini hii
Aug 08, 2016 03:15Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyakosoa vikali makundi ya kigaidi yanayoendeleza harakati zao za kikatili kwa jina la Uislamu na kusisitiza kuwa vitendo hivyo vinafanyika kwa maslahi na manufaa ya maadui na wanaoeneza chuki dhidi ya dini hiyo tukufu.
-
Rouhani: Kundi la 5+1 halitekelezi ipasavyo JCPOA
Aug 03, 2016 03:23Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za kundi la 5+1 hazitekelezi barabara makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).