-
Rais Rouhani ampokea rasmi Rais wa Korea Kusini katika ikulu ya Sa'dabad
May 02, 2016 03:20Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran asubuhi ya leo amempokea rasmi katika ikulu ya Sa'dabad Bi Park Geun-hye Rais wa Korea Kusini.
-
Iran: Ulaya itoe ushirikiano katika kupambana na ugaidi na utekelezaji wa JCPOA
Apr 30, 2016 11:47Rais Hassan Rouhani ameutaka Umoja wa Ulaya utoe ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi na kusisitizia ulazima wa kutekelezwa ipasavyo makubaliano ya nyuklia (JCPOA).
-
Rais Rouhani: Utawala wa wananchi ni moja ya fahari kubwa kwa Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
Apr 28, 2016 23:37Rais Hassan Rouhani amesema utawala unaotokana na ridhaa ya wananchi ni moja ya fahari kubwa kwa Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano na Afrika Kusini
Apr 24, 2016 12:29Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema watu wa Iran walisimama bega kwa bega na kuwaunga mkono wazalendo wa Afrika Kusini wakati wakipambana na utawala wa makaburuwabaguzi wa rangi.
-
Rais Rouhani ampokea rasmi Rais Zuma wa Afrika Kusini
Apr 24, 2016 03:26Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempokea rasmi mwenzake wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ikiwa ni safari ya kwanza kwa rais huyo kuitembelea nchi hii tangu baada ya kuanza kutekelezwa makubaliano ya nyuklia kati ya Tehran na nchi zinazounda kundi 5+1.
-
Rais Rouhani: Kutunza mazingira ni jukumu la kiutu, kijamii, kidini na kiutamaduni
Apr 23, 2016 11:41Rais Hassan Rouhani amesema mchango wa dini una taathira katika kukuza utamaduni wa kutunza na kuhifadhi mazingira katika jamii za wanadamu.
-
Rais Zuma wa Afrika Kusini kuitembelea Iran leo
Apr 22, 2016 23:50Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini anatazamiwa kuwasili nchini Iran Jumamosi ya leo akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi.
-
Rais Zuma wa Afrika Kusini kuitembelea Iran Jumamosi
Apr 22, 2016 11:53Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini anatazamiwa kuwasili nchini Iran Jumamosi ya kesho akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi.
-
Rouhani na al Abadi wajadili mapambano dhidi ya ugaidi
Apr 21, 2016 00:53Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri Mkuu wa Iraq wamefanya mazungumzo ya simu wakijadili hali ya sasa ya Mashariki ya Kati husuan mipango ya serikali ya Iraq ya kurejesha amani nchini humo na kupambana na ugaidi.
-
Rais Rouhani: Iran imesambaratisha chuki dhidi ya Uislamu
Apr 19, 2016 10:58Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa kubwa la Iran limesambaratisha njama za madola makubwa na Wazayuni za kueneza chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya Iran