Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia: Marekani itahatarisha usalama wa dunia ikijiondoa JCPOA

    Russia: Marekani itahatarisha usalama wa dunia ikijiondoa JCPOA

    Oct 14, 2017 00:48

    Russia imeonya kuwa Marekani itahatarisha usalama wa dunia ikijiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran yaliyotiwa saini mwaka 2015 baina ya Iran na madola sita makubwa duniani.

  • Safari ya Mfalme Salman mjini Moscow; mapatano madogo yasiyo na taathira kubwa

    Safari ya Mfalme Salman mjini Moscow; mapatano madogo yasiyo na taathira kubwa

    Oct 06, 2017 20:41

    Ushahidi uliopo unaonyesha kwamba safari ya hivi karibuni ya Mfalme Salman wa Saudia mjini Moscow Russia, imekuwa na matokeo madogo ya kiuchumi na kijeshi yasiyo na umuhimu mkubwa.

  • Makamanda 7 wa Daesh waangamizwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Russia huko Syria

    Makamanda 7 wa Daesh waangamizwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Russia huko Syria

    Oct 03, 2017 10:59

    Wizara ya Ulinzi ya Russia leo imetangaza habari ya kuuawa makamanda saba wa kundi la kigaidi la Daesh katika mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za nchi hiyo huko Syria.

  • Russia yaua zaidi ya magaidi 2300 katika kipindi cha siku 10 nchini Syria

    Russia yaua zaidi ya magaidi 2300 katika kipindi cha siku 10 nchini Syria

    Oct 01, 2017 00:23

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imeashiria kushindwa vibaya magaidi wa Daesh (ISIS) na Jabhatunnusra nchini Syria na kusema kuwa, ndege za kivita za Russia zimeua magaidi 2,359 na kujeruhi wengine 2,700 katika kipindi cha siku kumi zilizopita.

  • Safari ya Rais wa Russia nchini Uturuki; juhudi za kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili

    Safari ya Rais wa Russia nchini Uturuki; juhudi za kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili

    Sep 29, 2017 04:27

    Alkhamisi ya jana tarehe 28 Septemba, Rais Vladimir Putin wa Russia alikutana na kufanya mazungumzo mjini Ankara Uturuki na Rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdoğan, ambapo viongozi hao wawili wamebadilishana mawazo kuhusiana na hali ya mambo katika eneo la Mashariki ya Kati pamoja na uhusiano wa pande mbili.

  • Russia kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini

    Russia kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini

    Sep 27, 2017 06:28

    Afisa mmoja wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, Moscow imepanga kuanza mazungumzo ya kisiasa na Korea Kaskazini kwa ajili ya kupunguza mivutano na hofu katika rasi ya Korea.

  • Safari ya ujumbe wa Korea Kaskazini nchini Russia

    Safari ya ujumbe wa Korea Kaskazini nchini Russia

    Sep 27, 2017 04:24

    Katika kushadidi mgogoro kati ya Marekani na Korea Kaskazini, ujumbe wa ngazi za juu wa Pyongyang umefanya safari nchini Russia kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa taifa hilo.

  • Russia: Marekani haiwezi kuthubutu kuishambulia Korea Kaskazini

    Russia: Marekani haiwezi kuthubutu kuishambulia Korea Kaskazini

    Sep 25, 2017 00:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Marekani haithubutu kufanya shambulizi lolote dhidi ya Korea Kaskazini kwa kuwa inafahamu fika kwamba Pyongyang ina mabomu ya nyuklia.

  • Meli za kivita za China, Russia zaanza mazoezi karibu na Korea Kaskazini

    Meli za kivita za China, Russia zaanza mazoezi karibu na Korea Kaskazini

    Sep 18, 2017 09:46

    Meli za kivita za China na Russia zimeanza mazoezi ya pamoja ya kijeshi karibu na Korea Kaskazini huku kukiwa na wasiwasi kuwa mvutano baina ya Marekani na Korea Kaskazini unaweza kugeuka na kuwa makabiliano ya ana kwa ana ya kijeshi.

  • Russia: Vita na machafuko duniani vinasababishwa na demokrasia chafu ya Marekani

    Russia: Vita na machafuko duniani vinasababishwa na demokrasia chafu ya Marekani

    Sep 16, 2017 09:10

    Mkuu wa Baraza la Federesheni ya Russia amesema kuwa, demokrasia ya Marekani ndio chanzo cha machafuko, vita na maafa ya kibinaadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS