-
Russia yasema itapiga kura ya veto dhidi ya muswada wa Baraza la Usalama kuhusu Syria
Feb 25, 2017 03:47Russia imetangaza kuwa, itatumia kura ya veto kupinga vikwazo vya aina yoyote ile vya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Syria kwa madai kwamba nchi hiyo imetumia silaha za kemikali.
-
Russia: Makombora yetu yana uwezo wa kupenya kirahisi ngao za Marekani
Feb 20, 2017 00:44Naibu Waziri Mkuu wa Russia katika masuala ya ulinzi amesema kuwa, Moscow inatengeneza makombora ambayo yana uwezo wa kupenya kirahisi ngome za kujilinda na makombora za Marekani na kupiga kulikokusudiwa.
-
Merkel: Russia na Waislamu wajumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi
Feb 19, 2017 04:13Kansela wa Ujerumani ametoa mwito wa kushirikishwa Russia na Waislamu katika kukabiliana na jinamizi la ugaidi.
-
Russia: Hakuna chochote kinachoweza kuvuruga uhusiano wa Tehran na Moscow
Feb 17, 2017 23:09Sergei Ryabkov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema uhusiano wa pande mbili wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hauwezi kuyumbishwa wala kuathiriwa na 'nguvu za nje' au upande wa tatu.
-
Russia yatilia mkazo kusimamishwa ujenzi wa vitongoji wa utawala wa Kizayuni
Feb 12, 2017 12:19Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa ametaka kusimamishwa ujenzi iwa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
-
Russia yasisitiza kutekelezwa makubaliano ya JCPOA
Feb 10, 2017 11:51Balozi wa Russia nchini Marekani amesisitiza udharura wa kutekeleza makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya kundi la nchi 5+1 na Iran yaani JCPOA.
-
Iran, Russia, Syria, Hizbullah zina msimamo mmoja katika vita dhidi ya ugaidi
Feb 09, 2017 00:36Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, ndoto za baadhi ya watu za kutamani kushuhudia mivutano katika msimamo wa pamoja wa Iran, Russia, Syria na Hizbullah katika vita vya ugaidi, hazitaagulika.
-
Russia yakanusha kuuliwa wanajeshi wake Syria
Feb 05, 2017 23:12Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amekanusha ripoti iliyotolewa kuhusu kuuliwa wanajeshi wake huko Syria.
-
Shamkhani: Iran imedhamiria kufuatilia ufumbuzi wa kisiasa kwa ajili ya Syria
Feb 05, 2017 10:43Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuhusu wasiwasi walionao viongozi wa baadhi ya nchi za eneo hili kuhusu ubunifu wa kisiasa wa pande tatu za Iran, Russia na Uturuki kwamba wasiwasi huu unatokana na kudhoofika makundi ya kigaidi.
-
Russia: Tutatoa msaada wa kijeshi kwa Cameroon kukabiliana na Boko Haram
Jan 29, 2017 00:22Serikali ya Russia imesisitizia udharura wa kuungwa mkono kijeshi juhudi za serikali ya Cameroon kwa ajili ya kupambana na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini humo.