-
Serikali ya Russia yaafikiana na Trump kuhusu NATO
Jan 16, 2017 23:33Ikulu ya Russia (Kremlin) imetangaza kuwa serikali ya nchi hiyo inaafiki mtazamo wa Rais Mteule wa Marekani Donald Trump kwamba Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umepitwa na wakati.
-
Russia: Wamagharibi wanakwamisha mapambano dhidi ya ugaidi wa silaha za kemikali
Jan 14, 2017 23:08Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa baadhi ya nchi za Magharibi zinakwamisha mapambano halisi dhidi ya ugaidi wa silaha za kemikali kwa kuingiza masuala ya siasa katika kadhia ya utumiaji wa silaha za aina hiyo nchini Syria.
-
China na Russia zajiandaa kukabiliana na mfumo wa makombora wa Marekani wa THAD
Jan 14, 2017 00:26Serikali za Uchina na Russia zimeimarisha mahusiano yao kwa ajili ya kukabiliana na mpango wa uwekaji wa mfumo wa makombora wa Marekani THAD, ambao umepangwa kuwekwa nchini Korea Kusini mwaka huu wa 2017.
-
Mkuu wa Baraza la Mamumfti wa Russia apongeza nafasi ya Ayatullah Rasanjani
Jan 12, 2017 03:58Mkuu wa Baraza la Mamufti wa Russia amesisitiza kuwa Ayatullah Hashimi Rafsanjani alikuwa mwanasiasa mkubwa wa Kiislamu na nembo ya uzalendo.
-
Marekani: Russia ni tishio halisi kwa maslahi yetu duniani katika sekta ya kimtandao
Jan 06, 2017 01:15Viongozi wa idara tatu za intelejensia nchini Marekani, wameitaja Russia kuwa ni tishio halisi kwa maslahi yake duniani kutokana na nchi hiyo kumiliki mfumo wa intaneti wenye nguvu zaidi.
-
"Yumkini Marekani na Russia zikaingia vitani ndani ya siku 20 zijazo"
Jan 01, 2017 04:30Marekani ipo katika ncha ya kungia kwenye vita na Russia katika kipindi cha siku 20 zijazo.
-
Le Monde: Putin Shakhsia mashuhuri wa mwaka 2016
Dec 31, 2016 23:30Gazeti la Ufaransa la Le Monde limemtangaza Rais Vladimir Putin wa Russia kuwa ndiye shakhsia na mtu mashuhuri zaidi katika mwaka huu wa 2016.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia na kisingizio cha kuhujumu uchaguzi wa rais wa nchi hiyo
Dec 30, 2016 11:52Serikali ya Marekani imewafukuza wanadiplomasia 35 wa Russia na kuzidisha vikwazo dhidi ya nchi hiyo kwa kisingizio kwamba Moscow iliingilia zoezi la uchaguzi wa rais wa Marekani.
-
Serikali ya Marekani yawafukuza wanadiplomasia wa Russia
Dec 30, 2016 00:17Serikali ya Marekani imewafukuza nchini humo wanadiplomasia wa Russia kitendo ambacho kimeufanya uhusiano wa nchi mbili hizo kuingia katika hatua nyingine.
-
Kuna uwezekano wa kitendo cha kigaidi katika ajali ya ndege ya Russia - Waziri
Dec 26, 2016 03:41Waziri wa Usafiri na Uchukuzi wa Russia amesema, kuna uwezekano wa kuweko kitendo cha kigaidi katika ajali ya ndege ya nchi hiyo iliyoanguka na kuua makumi ya watu.