Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Serikali ya Russia yaafikiana na Trump kuhusu NATO

    Serikali ya Russia yaafikiana na Trump kuhusu NATO

    Jan 16, 2017 23:33

    Ikulu ya Russia (Kremlin) imetangaza kuwa serikali ya nchi hiyo inaafiki mtazamo wa Rais Mteule wa Marekani Donald Trump kwamba Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umepitwa na wakati.

  • Russia: Wamagharibi wanakwamisha mapambano dhidi ya ugaidi wa silaha za kemikali

    Russia: Wamagharibi wanakwamisha mapambano dhidi ya ugaidi wa silaha za kemikali

    Jan 14, 2017 23:08

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa baadhi ya nchi za Magharibi zinakwamisha mapambano halisi dhidi ya ugaidi wa silaha za kemikali kwa kuingiza masuala ya siasa katika kadhia ya utumiaji wa silaha za aina hiyo nchini Syria.

  • China na Russia zajiandaa kukabiliana na mfumo wa makombora wa Marekani wa THAD

    China na Russia zajiandaa kukabiliana na mfumo wa makombora wa Marekani wa THAD

    Jan 14, 2017 00:26

    Serikali za Uchina na Russia zimeimarisha mahusiano yao kwa ajili ya kukabiliana na mpango wa uwekaji wa mfumo wa makombora wa Marekani THAD, ambao umepangwa kuwekwa nchini Korea Kusini mwaka huu wa 2017.

  • Mkuu wa Baraza la Mamumfti wa Russia apongeza nafasi ya Ayatullah Rasanjani

    Mkuu wa Baraza la Mamumfti wa Russia apongeza nafasi ya Ayatullah Rasanjani

    Jan 12, 2017 03:58

    Mkuu wa Baraza la Mamufti wa Russia amesisitiza kuwa Ayatullah Hashimi Rafsanjani alikuwa mwanasiasa mkubwa wa Kiislamu na nembo ya uzalendo.

  • Marekani: Russia ni tishio halisi kwa maslahi yetu duniani katika sekta ya kimtandao

    Marekani: Russia ni tishio halisi kwa maslahi yetu duniani katika sekta ya kimtandao

    Jan 06, 2017 01:15

    Viongozi wa idara tatu za intelejensia nchini Marekani, wameitaja Russia kuwa ni tishio halisi kwa maslahi yake duniani kutokana na nchi hiyo kumiliki mfumo wa intaneti wenye nguvu zaidi.

  • "Yumkini Marekani na Russia zikaingia vitani ndani ya siku 20 zijazo"

    Jan 01, 2017 04:30

    Marekani ipo katika ncha ya kungia kwenye vita na Russia katika kipindi cha siku 20 zijazo.

  • Le Monde: Putin Shakhsia mashuhuri wa mwaka 2016

    Le Monde: Putin Shakhsia mashuhuri wa mwaka 2016

    Dec 31, 2016 23:30

    Gazeti la Ufaransa la Le Monde limemtangaza Rais Vladimir Putin wa Russia kuwa ndiye shakhsia na mtu mashuhuri zaidi katika mwaka huu wa 2016.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia na kisingizio cha kuhujumu uchaguzi wa rais wa nchi hiyo

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia na kisingizio cha kuhujumu uchaguzi wa rais wa nchi hiyo

    Dec 30, 2016 11:52

    Serikali ya Marekani imewafukuza wanadiplomasia 35 wa Russia na kuzidisha vikwazo dhidi ya nchi hiyo kwa kisingizio kwamba Moscow iliingilia zoezi la uchaguzi wa rais wa Marekani.

  • Serikali ya Marekani yawafukuza wanadiplomasia wa Russia

    Serikali ya Marekani yawafukuza wanadiplomasia wa Russia

    Dec 30, 2016 00:17

    Serikali ya Marekani imewafukuza nchini humo wanadiplomasia wa Russia kitendo ambacho kimeufanya uhusiano wa nchi mbili hizo kuingia katika hatua nyingine.

  • Kuna uwezekano wa kitendo cha kigaidi katika ajali ya ndege ya Russia - Waziri

    Kuna uwezekano wa kitendo cha kigaidi katika ajali ya ndege ya Russia - Waziri

    Dec 26, 2016 03:41

    Waziri wa Usafiri na Uchukuzi wa Russia amesema, kuna uwezekano wa kuweko kitendo cha kigaidi katika ajali ya ndege ya nchi hiyo iliyoanguka na kuua makumi ya watu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS