Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Putin aonya juu ya hatari

    Putin aonya juu ya hatari "halisi" ya vita vya nyuklia baina ya Russia na Magharibi

    Mar 01, 2024 06:47

    Rais Vladmir Putin wa Russia ameziambia nchi za Magharibi kuwa, ziko hatarini kuzusha vita vya nyuklia iwapo zitatuma wanajeshi kupigana nchini Ukraine, akionya kwamba Moscow ina silaha za kushambulia maeneo ya Magharibi.

  • Ukraine yakanusha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki

    Ukraine yakanusha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki

    Feb 26, 2024 11:47

    Mkuu wa Idara ya Intelijensia ya Jeshi la Ukraine amekadhibisha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki kwa ajili ya kutumika katika vita vya Ukraine.

  • Kremlin: Biden ameifedhehesha Marekani kwa kumtusi Putin

    Kremlin: Biden ameifedhehesha Marekani kwa kumtusi Putin

    Feb 23, 2024 03:30

    Msemaji wa Ofisi ya Rais wa Russia (Kremlin) amesema Rais Joe Biden wa Marekani amelifedhehesha taifa lake analoliongoza kwa hatua yake ya kumtukana hadharani Rais Vladimir Putin wa Russia.

  • Wananchi wa Ulaya wakata tamaa, hawatarajii kupata ushindi Ukraine

    Wananchi wa Ulaya wakata tamaa, hawatarajii kupata ushindi Ukraine

    Feb 22, 2024 11:32

    Matokeo ya uchunguzi wa karibuni kabisa wa maoni yanaonesha kuwa, ni asilimia 10 tu ya wananchi wa nchi za Ulaya wanaoamini kwamba Ukraine inaweza kushinda kwenye vita vyake na Russia.

  • Russia: Makubaliano ya JCPOA hayana mbadala wake

    Russia: Makubaliano ya JCPOA hayana mbadala wake

    Feb 20, 2024 12:53

    Balozi na Mwakilishi wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao huko Vienna nchini Austria amesema njia pekee ya kuyahuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kuyarejesha katika hali yake ya asili.

  • Medvedev atishia kushambulia Washington, London na Berlin ikiwa Russia italazimishwa kuondoka Ukraine

    Medvedev atishia kushambulia Washington, London na Berlin ikiwa Russia italazimishwa kuondoka Ukraine

    Feb 19, 2024 11:42

    Rais wa zamani wa Russia Dmitry Medvedev ametishia Washington, Berlin, London na Kiev kushambuliwa kwa silaha za nyuklia ikiwa Russia italazimishwa kujiondoa Ukraine.

  • Putin: Russia iko tayari kumaliza mzozo na Ukraine

    Putin: Russia iko tayari kumaliza mzozo na Ukraine

    Feb 19, 2024 02:25

    Rais wa Russia amesema kuwa Moscow iko tayari kumaliza vita na Kiev kwa amani, lakini hakuna dalili kwamba Ukraine inataka amani.

  • Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso: Iran ni kigezo cha muqawama

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso: Iran ni kigezo cha muqawama

    Feb 10, 2024 10:41

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso ameshiriki katika sherehe za madhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kusema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo bora cha utawala, muqawama, ushujaa na mapambano.

  • Russia, China: US inahatarisha usalama wa Asia Magharibi

    Russia, China: US inahatarisha usalama wa Asia Magharibi

    Feb 06, 2024 11:00

    Russia na China zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Iraq na Syria na kusisitiza kuwa, Washington ni tishio kwa usalama wa eneo zima la Asia Magharibi.

  • Mpango wa kupora mali za Russia ili kufidia hasara za vita vya Ukraine kuwasilishwa katika G7

    Mpango wa kupora mali za Russia ili kufidia hasara za vita vya Ukraine kuwasilishwa katika G7

    Feb 05, 2024 06:45

    Serikali ya Ubelgiji imetangaza kuwa imewasilisha pendekezo kwa wawakilishi wa nchi za Magharibi na wa Kundi la G7 la kutaifisha mali za Russia ili kufidia hasara za vita vya Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS