-
Russia: Ajali ya ndege ya II-76 ilisababishwa na makombora yaliyorushwa na mfumo wa Patriot wa Marekani
Feb 02, 2024 02:38Kamati ya Uchunguzi ya Russia jana ilieleza kuwa uchunguzi iliofanya kuhusu ajali ya ndege ya kijeshi ya usafiri iliyotokea wiki jana katika jimbo la Belgorod nchini humo imebaini kuwa ndege hiyo ilitunguliwa na makombora yaliyorushwa na mfumo wa ulinzi wa anga wa Patriot.
-
Mahakama ya ICJ yatupilia mbali madai ya Ukraine dhidi ya Russia
Feb 01, 2024 10:59Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imepinga takriban tuhuma zote zilizowasilishwa na Ukraine katika kesi ya kufadhili ugaidi dhidi ya Russia.
-
Ukraine ina wasiwasi wa kupunguziwa misaada ya Magharibi
Jan 31, 2024 10:51Rais wa Ukraine amekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ni dhaifu mkabala wa Russia na kusema: Ulaya peke yake haiwezi kuisaidia Ukraine dhidi ya Russia bila uungaji mkono wa Marekani.
-
Russia: Marekani inatumia vita vya Ukraine kama mradi wenye faida
Jan 24, 2024 03:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa Marekani inaona vita kati ya Russia na Ukraine kama "mradi wa faida" na kusema: Moscow iko tayari kwa mazungumzo na Ukraine kwa ajili ya kumaliza mzozo huo.
-
Mkuu wa Intelijensia ya Russia: Marekani inaanzisha 'Serikali ya Kikoloni' ndani ya Ukraine
Jan 23, 2024 05:40Mkuu wa Shirika la Intelijensia la Russia amesema, Marekani imeanza kuunda "serikali ya kikoloni" nchini Ukraine inayojumuisha wanasiasa wa ndani ambao wamekula kiapo cha utiifu kwa Washington.
-
CNN: Marekani inatazamia kutuma Ukraine msaada mkubwa zaidi kabla ya 2025
Jan 21, 2024 02:39Televisheni ya CNN yenye makao yake nchini Marekani imeripoti kuwa Washington inatazamia kutuma msaada mubwa zaidi huko Ukraine kabla ya Januari mwaka 2025 na kukfanyika uchaguzi wa rais nchini humo.
-
Ujumbe wa HAMAS ya Palestina waitembelea Russia
Jan 20, 2024 04:03Ujumbe wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina(HAMAS) umeitembelea Moscow, mji mkuu wa Russia.
-
Russia: Amani ya Ukraine inategemea kusimamishwa upelekekaji silaha nchini humo
Jan 15, 2024 13:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa mazungumzo ya amani kwa ajili ya Ukraine yanawezeka tu kwa kusimamishwa upelekaji wa silaha kwa nchi hiyo.
-
Kupamba moto vita nchini Ukraine na juhudi zisizo na tija za Magharibi
Jan 15, 2024 06:27Russia imeshadidisha mashambulizi yake dhidi ya Ukraine sambamba na kupungua misaada ya kifedha na silaha ya nchi za Magharibi kwa Kyiv.
-
Medvedev: Kupeleka Uingereza askari wake Ukraine kutamaanisha kutangaza vita dhidi ya Russia
Jan 13, 2024 06:16Dmitry Medvedev, Naibu Mkuu wa Baraza la Usalama la Russia amesema, kupelekwa askari wa jeshi la Uingereza nchini Ukraine kutakuwa sawa na kutangaza vita dhidi ya Russia.