Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Medvedev atishia kushambulia Washington, London na Berlin ikiwa Russia italazimishwa kuondoka Ukraine

    Medvedev atishia kushambulia Washington, London na Berlin ikiwa Russia italazimishwa kuondoka Ukraine

    Feb 19, 2024 08:12

    Rais wa zamani wa Russia Dmitry Medvedev ametishia Washington, Berlin, London na Kiev kushambuliwa kwa silaha za nyuklia ikiwa Russia italazimishwa kujiondoa Ukraine.

  • Putin: Russia iko tayari kumaliza mzozo na Ukraine

    Putin: Russia iko tayari kumaliza mzozo na Ukraine

    Feb 18, 2024 22:55

    Rais wa Russia amesema kuwa Moscow iko tayari kumaliza vita na Kiev kwa amani, lakini hakuna dalili kwamba Ukraine inataka amani.

  • Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso: Iran ni kigezo cha muqawama

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso: Iran ni kigezo cha muqawama

    Feb 10, 2024 07:11

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso ameshiriki katika sherehe za madhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kusema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo bora cha utawala, muqawama, ushujaa na mapambano.

  • Russia, China: US inahatarisha usalama wa Asia Magharibi

    Russia, China: US inahatarisha usalama wa Asia Magharibi

    Feb 06, 2024 07:30

    Russia na China zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Iraq na Syria na kusisitiza kuwa, Washington ni tishio kwa usalama wa eneo zima la Asia Magharibi.

  • Mpango wa kupora mali za Russia ili kufidia hasara za vita vya Ukraine kuwasilishwa katika G7

    Mpango wa kupora mali za Russia ili kufidia hasara za vita vya Ukraine kuwasilishwa katika G7

    Feb 05, 2024 03:15

    Serikali ya Ubelgiji imetangaza kuwa imewasilisha pendekezo kwa wawakilishi wa nchi za Magharibi na wa Kundi la G7 la kutaifisha mali za Russia ili kufidia hasara za vita vya Ukraine.

  •  Russia: Ajali ya ndege ya II-76 ilisababishwa na makombora yaliyorushwa na mfumo wa Patriot wa Marekani

    Russia: Ajali ya ndege ya II-76 ilisababishwa na makombora yaliyorushwa na mfumo wa Patriot wa Marekani

    Feb 01, 2024 23:08

    Kamati ya Uchunguzi ya Russia jana ilieleza kuwa uchunguzi iliofanya kuhusu ajali ya ndege ya kijeshi ya usafiri iliyotokea wiki jana katika jimbo la Belgorod nchini humo imebaini kuwa ndege hiyo ilitunguliwa na makombora yaliyorushwa na mfumo wa ulinzi wa anga wa Patriot.

  • Mahakama ya ICJ yatupilia mbali madai ya Ukraine dhidi ya Russia

    Mahakama ya ICJ yatupilia mbali madai ya Ukraine dhidi ya Russia

    Feb 01, 2024 07:29

    Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imepinga takriban tuhuma zote zilizowasilishwa na Ukraine katika kesi ya kufadhili ugaidi dhidi ya Russia.

  • Ukraine ina wasiwasi wa kupunguziwa misaada ya Magharibi

    Ukraine ina wasiwasi wa kupunguziwa misaada ya Magharibi

    Jan 31, 2024 07:21

    Rais wa Ukraine amekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ni dhaifu mkabala wa Russia na kusema: Ulaya peke yake haiwezi kuisaidia Ukraine dhidi ya Russia bila uungaji mkono wa Marekani.

  • Russia: Marekani inatumia vita vya Ukraine kama mradi wenye faida

    Russia: Marekani inatumia vita vya Ukraine kama mradi wenye faida

    Jan 24, 2024 00:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa Marekani inaona vita kati ya Russia na Ukraine kama "mradi wa faida" na kusema: Moscow iko tayari kwa mazungumzo na Ukraine kwa ajili ya kumaliza mzozo huo.

  • Mkuu wa Intelijensia ya Russia: Marekani inaanzisha 'Serikali ya Kikoloni' ndani ya Ukraine

    Mkuu wa Intelijensia ya Russia: Marekani inaanzisha 'Serikali ya Kikoloni' ndani ya Ukraine

    Jan 23, 2024 02:10

    Mkuu wa Shirika la Intelijensia la Russia amesema, Marekani imeanza kuunda "serikali ya kikoloni" nchini Ukraine inayojumuisha wanasiasa wa ndani ambao wamekula kiapo cha utiifu kwa Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS