Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yataka kurejea Marekani na Troika ya Ulaya kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran

    Russia yataka kurejea Marekani na Troika ya Ulaya kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran

    Nov 24, 2023 07:21

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika taasisi za kimataifa ameeleza kuwa, Moscow inazitaka Marekani na kundi la Troika ya Ulaya zirejee katika Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran.

  • Sputnik: Asilimia 50 ya vikosi vya jeshi la Ukraine ni mamluki wa nchi ajinabi

    Sputnik: Asilimia 50 ya vikosi vya jeshi la Ukraine ni mamluki wa nchi ajinabi

    Nov 19, 2023 03:08

    Shirika la habari la Sputnik la Russia limeripoti kuwa matokeo kadhaa ya hujuma za redio katika masafa ya jeshi la Ukraine yanaonyesha kuwa asilimia 50 ya vikosi vya jeshi la Ukraine ni mamluki wa kigeni.

  • Kremlin: Russia haiwezi kushindwa katika medani ya vita

    Kremlin: Russia haiwezi kushindwa katika medani ya vita

    Nov 10, 2023 02:52

    Msemaji wa Ofisi ya Rais wa Russia (Kremlin) amesema ni muhali kwa jeshi la Russia kushindwa katika medani ya vita.

  • Kiongozi wa upinzani: Zelensky atakuwa rais wa mwisho wa Ukraine

    Kiongozi wa upinzani: Zelensky atakuwa rais wa mwisho wa Ukraine

    Nov 04, 2023 03:03

    Kiongozi wa zamani wa upinzani wa Ukraine amekosoa vikali mienendo ya Rais wa nchi hiyo, Volodymyr Zelensky na kusema kuwa, yumkini mwanasiasa huyo atakakuwa rais wa mwisho wa Ukraine.

  • EU yapata hasara ya dola trilioni 1.5 kwa vikwazo dhidi ya Russia

    EU yapata hasara ya dola trilioni 1.5 kwa vikwazo dhidi ya Russia

    Nov 03, 2023 12:26

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya zimepoteza takriban dola trilioni 1.5 kutokana na vikwazo vya Wamagharibi dhidi ya Moscow.

  • Kremlin: Kuanzisha chombo bora badala ya Baraza la Usalama la UN kunahitaji mwafaka wa kimataifa

    Kremlin: Kuanzisha chombo bora badala ya Baraza la Usalama la UN kunahitaji mwafaka wa kimataifa

    Nov 01, 2023 08:09

    Msemaji wa Ofisi ya Rais wa Russia amekiri kwamba, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeshindwa kutekeleza majukumu yake. Dmitry Peskov ameyasema hayo akijadili fikra zilizopendekezwa kuhusu udharura wa kuanzishwa taasisi yenye ufanisi badala ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Kushtadi mvutano baina ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kushtadi mvutano baina ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 31, 2023 02:35

    Mvutano baina ya Russia na utawala ghasibu wa Israel umeshadidi baada ya ziara ya wawakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) mjini Moscow.

  • Umati wa watu wenye hasira wavamia uwanja wa ndege Russia kuzuia ndege za Israel zisitue

    Umati wa watu wenye hasira wavamia uwanja wa ndege Russia kuzuia ndege za Israel zisitue

    Oct 30, 2023 14:11

    Mamia ya watu wenye hasira wamevamia uwanja mkuu wa ndege katika eneo la Dagestan nchini Russia, wakipinga kutua ndege zinazotoka Israel wakati utawala huo haramu wa Kizayuni ukiwa unaendeleza mauaji ya kinyama dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Ndege za kivita za Russia zashambulia maficho ya magaidi Idlib na Latakia nchini Syria

    Ndege za kivita za Russia zashambulia maficho ya magaidi Idlib na Latakia nchini Syria

    Oct 30, 2023 11:34

    Naibu mkuu wa Kituo cha Maridhiano cha Russia nchini Syria ametangaza kuwa jeshi la anga la Russia limefanya shambulio dhidi ya maficho ya chini ya ardhi ya makundi ya kigaidi katika miji ya Idlib na Latakia kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Kupigiwa kura ya veto maazimio yanayohusu vita vya Ghaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Kupigiwa kura ya veto maazimio yanayohusu vita vya Ghaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Oct 27, 2023 07:27

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limeshindwa kupasisha azimio Katika hali ambayo wananchi wa Ukanda wa Ghaza bado wanakabiliwa na mashambulizi ya kinyama na ya kutisha ya utawala wa Kizayuni ambapo utawala huo unazuia kufikishwa misaada ya dharura katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS