-
Kukiri Borrell juu ya mwisho wa udhibiti wa Marekani na nafasi isiyokuwa athirifu ya Ulaya duniani
Oct 22, 2022 07:41Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell amekiri katika mahojiano yake siku ya Alhamisi iliyopita kwamba tunaishi katika ulimwengu wa kambi kadhaa na kwamba kipindi cha udhibiti wa upande mmoja wa Marekani kimefikia tamati.
-
Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran kwa kutegemea madai yasiyo na msingi
Oct 21, 2022 07:14Siku ya Alhamisi, Oktoba 20, Umoja wa Ulaya ulitangaza vikwazo vipya dhidi ya Iran kwa kutegemea madai ambayo hayajathibitishwa kuhusu kushiriki ndege zisizo na rubani zilizotengenezwa na Iran katika vita vya Ukraine.
-
Berlusconi amlaumu Rais Zelensky kwa vita vya Ukraine
Oct 21, 2022 00:42Waziri Mkuu wa zamani wa Italia, Silvio Berlusconi amesema Rais Volodymyr Zelenskiy wa Ukraine ndiye aliyemsukuma kwenye vita Rais Vladimir Putin wa Russia.
-
Tume ya UN yawasilisha ripoti ya jinai za kivita zilizofanywa na Ukraine
Oct 19, 2022 07:05Tume ya Umoja wa Mataifa inayofuatilia haki za binadamu imerekodi kwa uchache kesi mbili za uhalifu wa kivita uliofanywa na jeshi la Ukraine katika mzozo wa nchi hiyo na jeshi la Russia.
-
Russia yaionya vikali Israel dhidi ya kuipa silaha Ukraine
Oct 18, 2022 04:10Rais wa zamani wa Russia ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka usithubutu kuipa silaha Ukraine.
-
Putin: NATO inaingilia mambo ya ndani ya mataifa mengi duniani
Oct 13, 2022 23:15Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, jeshi la nchi za Magharibi NATO linaingilia mambo ya ndani ya nchi nyingi duniani kinyume cha sheria.
-
Russia yaiweka kampuni ya Meta kwenye orodha ya makundi ya kigaidi
Oct 11, 2022 23:38Russia imeiweka kampuni ya Marekani ya Meta, mmiliki wa mitandao ya kijamii ya Facebook, Instagram na WhatsApp, kwenye orodha ya makundi ya kigaidi.
-
Nchi za Magharibi zashindwa kuitenga Russia
Oct 10, 2022 21:50Kufuatia kuzorota hali ya uchumi na usalama barani Ulaya, tofauti za mitazamo kuhusu sera za nje na usalama wa bara Ulaya zimeongezeka, hasa kuhusiana na suala la Russia. Huku viongozi wa Ulaya wakizungumzia siasa za kuitenga Russia, baadhi ya wanasiasa wa bara hilo wanaonya dhidi ya kukatwa kabisa uhusiano na nchi hiyo.
-
Pentagon: Hakuna dalili kwamba Putin anataka kutumia silaha za nyuklia
Oct 08, 2022 23:25Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetangaza kuwa hakuna dalili kwamba Rais wa Russia ana mpango wa kutumia silaha za nyuklia.
-
Russia: Rais wa Ukraine anachochea vita vya tatu vya dunia
Oct 07, 2022 08:00Ikulu ya Russia, Kremlin imemshutumu Rais Vladimir Zelensky wa Ukraine kwa kujaribu kuzusha vita vya tatu vya dunia, baada ya kulitaka shirika la kijeshi la NATO lianzishe mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Russia ili kuizuia isitumie silaha za nyuklia.