-
Russia: Hakuna Mwafrika anayepigana kwa niaba ya Moscow nchini Ukraine
Apr 14, 2022 23:33Balozi wa Russia nchini Kenya amekadhibisha madai kuwa Moscow imekodisha mamluki wa Kiafrika kwenda kupigana kwa niaba yake nchini Ukraine.
-
Mfumko wa bei za bidhaa Marekani umesababishwa na vikwazo dhidi ya Russia
Apr 14, 2022 23:30Gazeti la Washington Post limeripoti kuwa, vikwazo vya Washington dhidi ya Russia vimekuwa chachu ya kushadidisha mfumko wa bei za bidhaa unaoshuhudiwa nchini Marekani.
-
Lavrov: Lengo la operesheni maalumu ya Russia nchini Ukraine ni kukomesha udhibiti wa Marekani duniani
Apr 12, 2022 03:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema lengo la operesheni maalumu ya Moscow nchini Ukraine ni kukomesha udhibiti wa Marekani duniani.
-
Khatibzadeh: Marekani bado haijaonyesha nia ya kufikia makubaliano
Apr 11, 2022 03:48Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa, Marekani bado haijaonyesha nia ya kutosha ya kufikia makubaliano katika mazungumzo ya nyuklia yanayoendelea huko Vienna nchini Austria na kuongeza kuwa: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiathiriwi na kampeni za vyombo vya habari na matamshi yanayokinzana.
-
Konashenkov: Russia imeangamiza mfumo wa makombora wa S-300 wa Ukraine
Apr 11, 2022 03:14Igor Konashenkov Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa, makombora ya nchi hiyo yamevunjilia mbali mfumo wa makombora wa S-300 wa Ukraine katika maeneo mawili.
-
Umoja wa Ulaya wachochea vita Ukraine: Mchezo wa Brussels kwenye uwanja wa Washington
Apr 11, 2022 00:32Huku akisema kuwa mvutano kati ya Ukraine na Russia utamalizikia tu katika medani ya vita, Joseph Borrell, mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya ametoa wito wa kutatuliwa kijeshi mzozo uliopo kati ya pande hizo.
-
Russia yalipiza kisasi, yawafukuza wanadiplomasia 45 wa Poland
Apr 09, 2022 02:36Wizara ya Mambo ya Nje wa Russia imetangaza kuwa imewafukuza wanadiplomasia 45 wa Polanda waliokuweko nchini humo ikiwa ni majibu ya hatua kama hiyo iliyochukuliwa na nchi za Magharibi dhidi yake.
-
Russia: Kusimamishwa uanachama wa Moscow HRC kunaonesha ubeberu wa Marekani
Apr 08, 2022 03:49Naibu mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa anasema kuwa upigaji kura wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kusimamisha uanachama wa Russia katika Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa unaonyesha juhudi za Marekani kudumisha msimamo wake wa kibeberu.
-
Serikali ya Brazil yakosoa vikwazo vya kiuchumi vya Magharibi dhidi ya Russia
Apr 07, 2022 22:15Wizara ya Mambo ya Nje ya Brazil imekosoa vikwazo vya kiuchumi vya nchi za Magharibi dhidi ya Russia.
-
Sisitizo la Putin la kutazamwa upya siasa za kuuzwa nje bidhaa za chakula za Russia
Apr 06, 2022 21:26Katika hotuba aliyotoa siku ya Jumanne, Rais Vladimir Putin wa Russia amelaani mashinikizo yanayotolewa na nchi za Ulaya dhidi ya shirika la Gazprom, ambalo husafirisha gesi ya nchi hiyo kwenda Ulaya, na kutishia kuchukua hatua za kulipiza kisasi.