-
IMF: Vikwazo dhidi ya Russia yumkini vitadhoofisha dola ya US
Apr 01, 2022 03:25Shirika la Fedha Duniani (IMF) limeonya kuwa, vikwazo dhidi ya Russia huenda vikadhoofisha na kuipotezea umashuhuri sarafu ya dola ya Kimarekani.
-
Peskov: Matamshi ya Biden dhidi ya Putin "hayasameheki", "hayakubaliki"
Mar 17, 2022 03:23Msemaji wa Rais wa Russia Dmitry Peskov ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais Joe Biden wa Marekani dhidi ya mwenzake wa Russia, Vladimir Putin kuwa "hayakubaliki" na "hayawezi kusamehewa."
-
Hamas: Zama za ubabe wa Marekani zimefika ukingoni
Feb 27, 2022 08:08Mkuu wa sera za kigeni katika Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina (Hamas) amesema moja kati ya mafunzo yanayopatikana katika vita vya Russia na Ukraine ni kuwa, zama za ubabe wa Marekani duniani zimefika ukingoni.
-
Russia yapiga veto azimio la Baraza la Usalama, Rais wa Ukraine asema jeshi la Russia litaingia Kiev leo
Feb 26, 2022 03:28Russia imepiga kura ya veto dhidi ya muswada wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa uliolokuwa ukilaani mashambulizi ya kijeshi nchini Ukraine.
-
Putin, Macron na Zelensky wajadili mgogoro wa eneo la mashariki ya Ukraine
Feb 21, 2022 08:05Ikulu ya rais wa Ufaransa ya Élysée imetangaza kuwa, baada ya kuzungumza na Rais Vladimir Putin wa Russia, rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron amezungumza kwa njia ya simu pia na mwenzake wa Ukraine Volodymyr Zelensky kumjulisha kuhusu mazungumzo yao.
-
Putin: Marekani inaitumia Ukraine kuidhibiti Russia
Feb 02, 2022 08:09Rais wa Russia amesema kuwa Washington imejaribu kila iwezalo kuidhibiti Russia na inaitumia Ukraine kama wenzo wa kufanikisha lengo hilo.
-
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani azidi kuitishia Russia
Jan 24, 2022 07:57Huku akitumia maneno makali Antony Blinken Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ametoa vitisho kwa Russia na kuitahadharisha kuwa Moscow itakabiliwa na jibu kali la Marekani iwapo mwanajeshi mmoja tu wa Russia ataingia kiuhasama huko Uikraine.
-
Russia na China: Demokrasia ya Kimarekani itashadidisha makabiliano ya kiidiolojia
Nov 27, 2021 12:32Mabalozi wa Russia na China nchini Marekani wamesema, kufanyika kongamano la demokrasia nchini humo kutashadidisha makabiliano ya kiidiolojia duniani.
-
Uturuki: Tuna haki kama zilivyo Russia na Marekani ya kuwepo kijeshi nchini Syria
Oct 02, 2021 12:22Msemaji wa rais wa Uturuki amedai kuwa, nchi hiyo, kama zilivyo Russia na Marekani, ina haki ya kuwepo kijeshi katika ardhi ya Syria.
-
Russia: Kujiondoa Marekani JCPOA kunaonesha haiwezi kutekeleza mapatano
Mar 22, 2021 11:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kitendo cha Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kwa kifupi kama JCPOA kinaashiria namna Washington haiwezi kuheshimu wala kutekeleza mapatano na mikataba ya kimataifa inayoyafunga.