-
Sherehe za harusi zaruhusiwa Rwanda, lakini...
Sep 07, 2020 15:40Wizara ya serikali za mitaa nchini Rwanda imetangaza masharti mapya kwa watu wanaojiandaa kufunga pingu za maisha kwa kuwataka watu watakaohudhuria harusi zao wawe wamepima corona kwa muda wa saa 72 zilizopita kabla ya harusi yenyewe. Hata hivyo gharaza upimaji zitakuwa dola 50 kwa kila mtu mmoja kitu ambacho wananchi wamekilalamikia. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.
-
Kundi la kwanza la wakimbizi wa Burundi larejea nyumbani kutoka Rwanda
Aug 28, 2020 02:23Mamia ya wakimbizi raia wa Burundi walioko nchini Rwanda wameanza kurejea nchini kwao, miaka mitano baada ya kukimbia mapigano na ghasia za kisiasa.
-
Rwanda yatoa waranti wa kumtia mbaroni mshukiwa wa mauaji ya kimbari aliyeko Ufaransa
Aug 27, 2020 04:05Rwanda imetoa waranti wa kumtia mbaroni Aloys Ntiwiragabo Mkuu wa zamani wa Intelijinsia wa nchi hiyo ambaye yuko chini ya uchunguzi hivi sasa nchini Ufaransa kwa kuhusika kwake katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 huko Rwanda.
-
Makaburi mawili ya umati yapatikana kandokando ya mji mkuu wa Rwanda
Aug 18, 2020 14:57Mabaki ya makumi ya miili ya wahanga wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda dhidi ya Watutsi yamepatikana katika wilaya ya Nyarugenge kandokando ya mji mkuu wa Rwanda, Kigali.
-
Rwanda: Serikali imetumia dola milioni 60 kukabiliana na Covid-19
Jul 21, 2020 10:54Wizara ya Afya ya Rwanda imesema kuwa serikali imetumia dola za Kimarekani milioni 60 ambazo ni zaidi ya faranga za nchi hiyo bilioni 54 katika kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 tangu kuthibitishwa kesi ya kwanza ya ugonjwa huo nchini humo.
-
Rwanda yasikitishwa na mauaji ya askari wake Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jul 16, 2020 08:07Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) limeeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya askari wa kulinda amani wa nchi hiyo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara
Jul 14, 2020 13:08Baraza la Biashara la Nchi za Afrika Mashariki (EABC), limezisihi nchi zote za kanda hiyo kufuata mfano wa Tanzania kwa kufungua anga zao ili kuruhusu safari za kimataifa kuingia na kutoka katika nchi zote za kanda hiyo.
-
Jeshi la Rwanda laua watu 4 waliobeba silaha kutoka Burundi
Jun 28, 2020 07:40Jeshi la Rwanda limetangaza habari ya kuua watu wanne waliokuwa wamebeba silaha raia wa Burundi kusini mwa nchi hiyo.
-
Rais Kagame ataka kuondolewa vikwazo Zimbabwe na Sudan
Jun 04, 2020 07:33Rais Paul Kagame wa Rwanda ametoa mwito wa kuondolewa vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Zimbabwe na Sudan ili kuzisaidia nchi hizo katika vita dhidi ya ugonjwa wa COVID-19.
-
Rwanda yaripoti kifo cha kwanza cha ugonjwa wa COVID-19
May 31, 2020 11:49Wizara ya Afya ya Rwanda imetangaza kifo cha kwanza kilichosababishwa na ugonjwa wa COVID-19 (corona) katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.