-
Bin Salman baina ya wahka wa ndani na malalamiko ya kimataifa
Nov 26, 2018 01:00Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia Muhammad bin Salman yuko katika safari ya kuzitembelea nchi 6 za Kiarabu na inatazamiwa kuwa, baada ya safari hiyo ataelekea Argentina kushiki mkutano wa G20. Hata hivyo Bin Salman amepatwa na wahka na wasiwasi mkubwa kutokana na uwezekano wa kutokea mapinduzi ndani ya kizazi cha Aal Saud na malalamiko yanayozidi nje ya nchi hiyo.
-
Mujtahid: Kuna uwezekano wa kutokea jambo lisilotarajiwa ndani ya kasri la kifalme nchini Saudi Arabia
Nov 24, 2018 11:33Mwanaharakati maarufu wa mitandao ya kijamii nchini Saudia, Mujtahid amefichua habari ya kuwepo hali isiyo ya kawaida ndani ya kasri la kifalme nchini humo na kwamba kile kinachoendelea hivi sasa ndani ya kasri hilo kinaashiria wasi wasi mkubwa.
-
Mwanahakari ataka kufanywa uchunguzi maalumu katika jela za Saudia
Nov 23, 2018 11:20Kiongozi wa masuala ya Saudi Arabia katika shirika la haki za binaadamu la Human Rights Watch ametaka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na hali ya wafungwa nchini humo.
-
Saudia yawazuia watoto wa wapinzani walioko korokoroni wasitoke nje ya nchi
Nov 21, 2018 23:16Mbali na viongozi wa Saudi Arabia kuwashikilia maelfu ya wapinzani na wanaharakati wa kisiasa nchini humo, inawazuia pia watoto wao wasitoke nje ya nchi.
-
Jibu la Iran kuhusu madai ya haki za binadamu ya Saudi Arabia
Nov 20, 2018 00:19Abdullah Al Mualami Mwakilishi wa Saudi Arabia katika kikao cha hivi karibuni cha Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya haki za binadamu alitoa madai yasiyo na msingi dhidi ya Iran.
-
Wasaudia 18 wazuiwa kuingia Ujerumani kwa tuhuma za mauaji ya Khashoggi
Nov 19, 2018 12:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani imezuia kuingia nchini humo kundi moja la raia wa Saudi Arabia wanaotuhumiwa kuhusika katika mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi aliyekuwa akiukosoa utawala wa Aal Saud.
-
Umoja wa Ulaya waitaka Saudi Arabia iweke wazi kikamilifu kuhusu mauaji ya Khashoggi
Nov 18, 2018 10:44Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ameitaka Saudi Arabia kuweka wazi kikamilifu mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa Saudia.
-
Ujerumani: Maelezo ya Saudi Arabia kuhusu mauaji ya Khashoggi hayakinaishi
Nov 16, 2018 21:41Serikali ya Ujerumani imetangaza kuwa, maelezo yaliyotolewa na Saudi Arabia kuhusu mauaji ya mkosoaji wa utawala wa nchi hiyo, Jamal Khashoggi hayatoshi.
-
Seneti ya Marekani yataka kutouziwa silaha Saudi Arabia
Nov 16, 2018 11:16Kundi la Maseneta wa Marekani limewasilisha muswada unaotaka kupigwa marufuku uuzaji wa silaha za nchi hiyo kwa Saudi Arabia.
-
Marekani yajitoa kimasomaso kwa kuwawekea vikwazo watu waliohusika kumuua Khashoggi
Nov 16, 2018 04:11Wizara ya Hazina ya Marekani na katika hatua yake iliyochelewa, imewawekea vikwazo raia kadhaa wa Saudi Arabia kutokana na mauaji dhidi ya Jamal Khashoggi, mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa Aal-Saud.