-
Chuo Kikuu cha Queen Mary: Saudia inaeneza kipindupindu Yemen
Aug 19, 2017 23:52Utafiti uliofanywa na taasisi moja ya Uingereza umebaini kuwa, muungano unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya watu wa Yemen ndio unaohusika na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Yemen kwa kuzuia misaada ya kibinadamu na kuyazingira maeneo yaliyokumbwa na ugonjwa huo.
-
Vita vya Saudi Arabia dhidi ya watoto wa Yemen
Aug 19, 2017 04:40Utangulizi wa ripoti iliyotayarishwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kuhusu ukiukwaji wa haki za watoto katika migogoro ya vita umeutuhumu muungano vamizi dhidi ya Yemen unaoongozwa na Saudi Arabia kuwa umekiuka haki za watoto.
-
UN: Hujuma za Saudi zimesababisha nusu ya vifo vya watoto Yemen
Aug 18, 2017 03:38Umoja wa Mataifa umesema asilimia 51 ya vifo na majeraha ya watoto wadogo nchini Yemen mwaka uliopita, yamesababishwa na mashambulio ya anga yanayofanywa na ndege za muungano wa kijeshi unaoongozwa na utawala vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini jirani yake.
-
Askari wa Saudia waharibu kikamilifu eneo la al-Masoorah la mji wa Al-Awamiyah
Aug 16, 2017 22:08Viongozi wa utawala wa kidikteta wa Saudia Arabia wametangaza kuharibiwa kikamilifu eneo la Waislamu wa madhehebu ya Shia la al-Masoorah katika mji wa Al-Awamiyah jimbo la Qatif nchini Saudia.
-
Bin Salman aitaka Iraq iwe mpatanishi katika mgogoro wa Iran na Saudia
Aug 13, 2017 23:05Qasim al-Araji, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iraq amesema mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na mwana wa mfalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman amemuomba awe mpatanishi katika mgogoro kati ya Saudia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
HRW: Vikosi vya Saudia vimeuzingiria kikamilifu mji wa al-Awamiya
Aug 13, 2017 09:16Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limefichua kuwa vikosi vya usalama vya utawala wa kifalme wa Aal-Saud vimeuzingira kikamilifu mji wa al-Awamiya, ulioko mashariki mwa Saudi Arabia.
-
Muungano wa Februari 14: Mahakama za Saudia hazina tofauti na utendaji wa Daesh
Aug 12, 2017 23:25Muungano wa Februari 14 nchini Bahrain umelaani hukumu za kidhalimu zinazotolewa na mahakama za utawala wa Saudia dhidi ya wasomi wa kidini na kutangaza kuwa, hazina tofauti yoyote na mahakama za kundi la kigaidi la Daesh.
-
Mahakama ya Saudia yamhukumu kifo mwanaharakati wa Kiislamu
Aug 11, 2017 21:52Mahakama ya Saudi Arabia imetoa hukumu ya kifo kwa mwanaharakati wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia anayepinga sera za utawala wa kifalme wa nchi hiyo huku serikali ya Riyadh ikiendelea kuwakandamiza wafuasi wa madhehebu hiyo, wapinzani wa kisiasa na watetezi wa demokrasia.
-
Hatimaye UN yavunja kimya chake, yaitaka Saudia iheshimu haki za binadamu
Aug 11, 2017 02:38Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia kukomesha jinai na mashambulio dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia mashariki mwa nchi hiyo.
-
Baadhi ya duru za habari: Saudia imebadili ghafla msimamo wake kuhusu Syria
Aug 06, 2017 11:53Kanali ya televisheni ya Al-Alam imeinukuu televisheni ya Russia Al-Yaum ikitangaza kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia Adel al-Jubeir amebadili ghafla msimamo kuhusu Rais Bashar Al-Assad wa Syria.