Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Uingereza yaendelea kuiuzia silaha Saudia licha ya upinzani mkali wa kimataifa

    Uingereza yaendelea kuiuzia silaha Saudia licha ya upinzani mkali wa kimataifa

    Feb 13, 2017 04:20

    Ripoti iliyofichuliwa nchini Uingereza imeonesha kuwa, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo ameitaka serikali ya London kuendelea kuuzia silaha utawala wa Saudi Arabia unaoua watu wasio na hatia wa Yemen hususan wanawake na watoto wadogo.

  • Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir

    Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir

    Feb 12, 2017 03:41

    Rekodi iliyovuja ya mazungumzo ya simu imefichua kuwa Misri iliwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kupata baraka na uungaji mkono wake kabla ya kusaini muafaka wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa vyake viwili vya Sanafir na Tiran.

  • CIA yaipa Saudia tuzo ya

    CIA yaipa Saudia tuzo ya "kupambana na ugaidi"

    Feb 11, 2017 23:29

    Shirika Kuu la Kijasusi Marekani (CIA) limempa tuzo Mrithi wa Kiti cha Ufalme Saudi Arabia, Mohammad bin Nayef kutokana na kile kilichotajwa kuwa ni "kazi zake za kijasusi katika vita dhidi ya ugaidi."

  • Aal-Saud wawaekea vizuizi Waislamu wa Shia wasiende Karbala kumzuru mjukuu wa Mtume (saw)

    Aal-Saud wawaekea vizuizi Waislamu wa Shia wasiende Karbala kumzuru mjukuu wa Mtume (saw)

    Feb 09, 2017 13:01

    Utawala wa kifalme wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia, umeendeleza ukandamizaji na mashinikizo dhidi ya Waislamu wa Shia wa nchi hiyo, mara hii ukiwazuia wanaume walio na umri chini ya miaka 40 kufanya safari nchini Iraq kwa lengo la kumzuru al-Imamul-Hussein, mjukuu wa Mtume Muhammad (saw).

  • Ubelgiji: Saudia inaeneza fikra za Uwahabi barani Ulaya

    Ubelgiji: Saudia inaeneza fikra za Uwahabi barani Ulaya

    Feb 09, 2017 03:48

    Ubelgiji imeeleza wasi wasi wake juu ya kuenea kwa kasi mwangwi wa Uwahabi katika nchi hiyo na kote bara Ulaya kwa ujumla.

  • HRW yatiwa wasiwasi na kuongezeka mateso Saudi Arabia

    HRW yatiwa wasiwasi na kuongezeka mateso Saudi Arabia

    Feb 07, 2017 03:39

    Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limesema linatiwa wasiwasi na kuongezeka pakubwa mateso nchini Saudia.

  • Misri yawaongezea muda wanajeshi wake katika muungano vamizi wa Saudia huko Yemen

    Misri yawaongezea muda wanajeshi wake katika muungano vamizi wa Saudia huko Yemen

    Feb 05, 2017 23:11

    Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri ameongeza muda wa ushiriki wa wanajeshi wa nchi hiyo katika vita huko Yemen vinavyoongozwa na utawala wa Saudi Arabia.

  • Saudi Arabia yazuia msaada wa chakula kufikishiwa wananchi wa Yemen

    Saudi Arabia yazuia msaada wa chakula kufikishiwa wananchi wa Yemen

    Feb 03, 2017 01:09

    Utawala wa Saudi Arabia umezuia kufikishiwa misaada ya chakula kwa wananchi wa Yemen baada ya kuizuia katika bandari ya al-Hadida meli iliyokuwa imebeba shehena ya chakula kwa ajili ya wananchi wa nchi hiyo.

  • Yemen: Hadi sasa tumeangamiza asilimia 20 ya manuwari za Saudia

    Yemen: Hadi sasa tumeangamiza asilimia 20 ya manuwari za Saudia

    Feb 02, 2017 10:21

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa nchini Yemen amesema kuwa, jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah limefanikiwa kuangamiza asilimia 20 ya manuwari za Saudi Arabia, wakati manuwari hizo zilipokuwa zikijaribu kukaribia pwani za nchi hiyo.

  • Mwanadiplomasia wa Saudia apatikana na hatia ya kubaka, kulawiti

    Mwanadiplomasia wa Saudia apatikana na hatia ya kubaka, kulawiti

    Feb 02, 2017 04:39

    Mahakama moja nchini Singapore imempata mwanadiplomasia wa Saudi Arabia, na hatia ya kubaka na kulawiti mhudumu mmoja wa hoteli kusini mwa nchi hiyo ya bara Asia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS