-
Misri yawaongezea muda wanajeshi wake katika muungano vamizi wa Saudia huko Yemen
Feb 05, 2017 23:11Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri ameongeza muda wa ushiriki wa wanajeshi wa nchi hiyo katika vita huko Yemen vinavyoongozwa na utawala wa Saudi Arabia.
-
Saudi Arabia yazuia msaada wa chakula kufikishiwa wananchi wa Yemen
Feb 03, 2017 01:09Utawala wa Saudi Arabia umezuia kufikishiwa misaada ya chakula kwa wananchi wa Yemen baada ya kuizuia katika bandari ya al-Hadida meli iliyokuwa imebeba shehena ya chakula kwa ajili ya wananchi wa nchi hiyo.
-
Yemen: Hadi sasa tumeangamiza asilimia 20 ya manuwari za Saudia
Feb 02, 2017 10:21Mkuu wa Baraza la Kisiasa nchini Yemen amesema kuwa, jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah limefanikiwa kuangamiza asilimia 20 ya manuwari za Saudi Arabia, wakati manuwari hizo zilipokuwa zikijaribu kukaribia pwani za nchi hiyo.
-
Mwanadiplomasia wa Saudia apatikana na hatia ya kubaka, kulawiti
Feb 02, 2017 04:39Mahakama moja nchini Singapore imempata mwanadiplomasia wa Saudi Arabia, na hatia ya kubaka na kulawiti mhudumu mmoja wa hoteli kusini mwa nchi hiyo ya bara Asia.
-
UN: Yemen imerejea muongo mmoja nyuma katika sekta ya afya
Feb 01, 2017 00:52Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema sekta ya afya ya Yemen imesambaratika kwa kiwango cha kutia wasi wasi kutokana na hujuma za kila siku za jeshi la utawala wa Aal-Saud.
-
Video: Jeshi la Yemen laangamiza meli ya kivita ya Saudia
Jan 31, 2017 03:07Jeshi la Yemen jana Jumatatu liliteketeza meli ya kivita ya Saudia na kuangamiza makumi ya wanajeshi vamizi wa nchi hiyo na kujeruhi wengine wengi.
-
Jeshi la Yemen laangamiza meli ya mizinga ya Saudia, Riyadh yakiri
Jan 31, 2017 01:09Jeshi la Yemen Jumatatu ya jana liliangamiza meli ya mizinga ya Saudia na kusababisha makumi ya askari wa nchi hiyo vamizi kuangamizwa na wengine kujeruhiwa.
-
UN: Saudi Arabia imetenda jinai kubwa za kivita nchini Yemen
Jan 31, 2017 00:40Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, Saudi Arabia imefanya jinai za kivita katika mashambulizi yake ya kijeshi nchini Yemen.
-
Mkahawa wa kwanza wa muziki na mchanganyiko wa kike kiume wafunguliwa Riyadh, Saudia
Jan 29, 2017 04:23Mkahawa wa kwanza wa muziki na mchanganyiko wa wanawake na wanaume umefunguliwa katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh na viongozi wa utawala wa Aal Saud ambao wenyewe wanajinasibu kuwa watumishi wa haram mbili tukufu za Makka na Madina.
-
Waziri wa Fedha wa Saudia akiri nchi kukabiliwa na mgogoro wa kifedha
Jan 23, 2017 04:23Waziri wa Fedha wa Saudi Arabia amekiri kuwa nchi hiyo itaendelea kuathiriwa na mgogoro wa kifedha hadi mwaka 2020.