Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Waziri wa Fedha wa Saudia akiri nchi kukabiliwa na mgogoro wa kifedha

    Waziri wa Fedha wa Saudia akiri nchi kukabiliwa na mgogoro wa kifedha

    Jan 23, 2017 04:23

    Waziri wa Fedha wa Saudi Arabia amekiri kuwa nchi hiyo itaendelea kuathiriwa na mgogoro wa kifedha hadi mwaka 2020.

  • Kuongezeka wimbi la umasiki nchini Saudia

    Kuongezeka wimbi la umasiki nchini Saudia

    Jan 22, 2017 10:23

    Philip Alston, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya ongezeko la umasikini na masuala ya haki za wanawake duniani amesema kuwa, kinyume na inavyodhaniwa, nchini Saudia kuna maeneo mengi ambayo wakazi wake ni masikini wa sana.

  • Saudia yaendelea kuua raia wa Yemen kwa mabomu ya vishada

    Saudia yaendelea kuua raia wa Yemen kwa mabomu ya vishada

    Jan 21, 2017 00:48

    Raia wengine watatu wa Yemen wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulio mapya ya anga yaliyofanywa na jeshi la Saudi Arabia katika mkoa wa Sanaá mji mkuu wa Yemen.

  • Saudi Arabia yaendelea kuwashambulia raia wa Yemen

    Saudi Arabia yaendelea kuwashambulia raia wa Yemen

    Jan 20, 2017 00:54

    Ndege za kivita za Saudia zimeendelea kufanya mashambulizi katika maeneo mbalimbali ya Yemen ambapo habari za hivi karibuni zinasema kuwa, ndege hizo zimefanya mashambulizi katika mikoa ya Sana'a, Taiz, Saada, Lahij na Hudaidah.

  • Vibaraka 35 wa Saudia waangamizwa nchini Yemen

    Vibaraka 35 wa Saudia waangamizwa nchini Yemen

    Jan 18, 2017 04:20

    Jeshi la Yemen na harakati za kujitolea za wananchi zimezuia shambulizi lililokuwa limepangwa kufanywa na vibaraka wa Saudia mjini Sana'a, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Iran kufuatilia kisheria na kudai fidia na dia za wafanyaziara katika mazungumzo na Saudia

    Iran kufuatilia kisheria na kudai fidia na dia za wafanyaziara katika mazungumzo na Saudia

    Jan 15, 2017 00:20

    Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara wa Iran amesema, katika vikao kadhaa vya ndani kuhusiana na mazungumzo yajayo na Saudi Arabia juu ya ajenda kuu ya amali za Hija, imeamuliwa kufuatilia masuala ya usalama, suhula na kadhia muhimu ya ufuatiliaji wa kisheria na kudai fidia na dia za wafanyaziara wa Kiirani waliofariki katika Msikiti Mtukufu wa Makka na eneo la Mina.

  • Saudia yaendeleza mashambulizi Yemen na kuua watu saba wa familia moja

    Saudia yaendeleza mashambulizi Yemen na kuua watu saba wa familia moja

    Jan 12, 2017 04:03

    Raia wa Yemen wasiopungua saba wameuawa katika mashambulizi ya hivi karibuni ya ndege za kivita za jeshi la Saudi Arabia nchini humo.

  • Iran: Uungaji mkono wa Saudia kwa ugaidi umelitumbukiza eneo kwenye machafuko

    Iran: Uungaji mkono wa Saudia kwa ugaidi umelitumbukiza eneo kwenye machafuko

    Jan 08, 2017 00:12

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Saudi Arabia imelitumbukiza eneo la Mashariki ya Kati kwenye machafuko kwa kuyaunga mkono makundi ya kitakfiri na kigaidi.

  • Wapinzani wa kupewa Saudia visiwa viwili vya Misri waja juu

    Wapinzani wa kupewa Saudia visiwa viwili vya Misri waja juu

    Jan 07, 2017 23:43

    Wapinzani wa mpango wa serikali ya Misri wa kutaka kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya Tiran na Sanafir vya Bahari Nyekundu wamezidi kuonesha hasira zao na wameipa Cairo muda maalumu kuhakikisha imeachana na mpango wake huo.

  • Saudi Arabia yaendelea kufanya mashambulio ya anga nchini Yemen

    Saudi Arabia yaendelea kufanya mashambulio ya anga nchini Yemen

    Jan 06, 2017 23:50

    Wanajeshi wa Saudi Arabia na waitifaki wao wameendelea kufanya mashambulio ya anga dhidi ya Yemen huku jamii ya kimataifa ikiendelea kunyamazia kimya jinai hizo za utawala wa Aal Saud.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS