-
Saudia yalaani sheria ya JASTA ya Marekani
Jan 05, 2017 01:05Ubalozi wa Saudia mjini Washington Marekani umelaani sheria iliyo dhidi ya wafadhili wa ugaidi kwa kifupi JASTA ya nchini Marekani.
-
Harakati ya Aprili 6 yawataka Wamisri kupinga uamuzi wa al Sisi wa kugawa visiwa vya Tiran, Sanafir
Jan 02, 2017 02:51Harakati ya Aprili 6 nchini Misri imewataka wananchi wa nchi hiyo kusimama na kupinga uamuzi wa serikali ya Abdul Fattah al Sisi wa kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo vya Tiran na Sanafir.
-
Iran yakanusha kupokea barua ya Saudia ya mwaliko wa Hija
Jan 01, 2017 13:07Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha madai ya Saudi Arabia kuwa imetuma barua ya mwaliko kwa Iran wa kushiriki kwenye Hija ya mwaka ujao.
-
Saudia inaendelea kutoa misaada ya kifedha kwa magaidi Syria
Dec 27, 2016 11:17Saudia Arabia hivi karibuni imetoa msaada mwingine wa Riali Milioni 100 za Kisaudi ($ Milioni 26.5) kwa ajili ya magaidi nchini Syria.
-
Saudia yakiri kuwepo katika eneo maelfu ya magaidi wenye uraia wa nchi hiyo
Dec 26, 2016 13:07Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imekiri kuwa kuna magaidi zaidi ya elfu mbili raia wa nchi hiyo huko Syria na katika nchi zingine za Mashariki ya Kati.
-
Mtikisiko wa kiuchumi waifanya Saudia ianze kuuza hisa za Aramco
Dec 25, 2016 04:34Saudi Arabia imetangaza mpango wa kuanza kuuza karibu nusu ya hisa za shirika kubwa la mafuta nchini humo Aramco, ikiwa ni katika juhudi za kupunguza nakisi ya bajeti ya utawala huo.
-
Askari na mamluki wa Saudia wazidi kuangamizwa na vikosi vya Yemen
Dec 24, 2016 04:27Mamluki wasiopungua 16 wa Saudi Arabia huko nchini Yemen wameangamizwa kufuatia operesheni ya kijeshi ya jeshi la Yemen likisaidiwa na vikosi vya kujitolea vya wananchi.
-
Mamluki 97 wa Saudi Arabia waangamizwa katika operesheni ya kijeshi nchini Yemen
Dec 21, 2016 03:25Mamluki wasiopungua 97 wa Saudi Arabia huko nchini Yemen wameangamizwa kufuatia operesheni ya kijeshi ya kamati za wananchi huku wengine 50 wakijeruhiwa.
-
Saudia yakiri kutumia mabomu ya vishada nchini Yemen
Dec 20, 2016 04:19Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umekiri kwamba umetumia mabomu yaliyopigwa marufuku ya vishada katika mashambulizi yake dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
Kuburuzwa (P) GCC na Saudia na kutoa fursa kwa Marekani na Uingereza ya kujiingiza katika eneo
Dec 20, 2016 02:42Katibu Mkuu wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P) GCC Abdulatif Al-Zayyani, ametoa taarifa kuhusu Iran ambayo ndani yake imeelekeza kidole cha tuhuma kwa Jamhuri ya Kiislamu zinazobainisha muelekeo na misimamo ya kisiasa ya Saudi Arabia kuhusiana na Iran na eneo la Ghuba ya Uajemi.