-
Iran kufuatilia kisheria na kudai fidia na dia za wafanyaziara katika mazungumzo na Saudia
Jan 15, 2017 00:20Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara wa Iran amesema, katika vikao kadhaa vya ndani kuhusiana na mazungumzo yajayo na Saudi Arabia juu ya ajenda kuu ya amali za Hija, imeamuliwa kufuatilia masuala ya usalama, suhula na kadhia muhimu ya ufuatiliaji wa kisheria na kudai fidia na dia za wafanyaziara wa Kiirani waliofariki katika Msikiti Mtukufu wa Makka na eneo la Mina.
-
Saudia yaendeleza mashambulizi Yemen na kuua watu saba wa familia moja
Jan 12, 2017 04:03Raia wa Yemen wasiopungua saba wameuawa katika mashambulizi ya hivi karibuni ya ndege za kivita za jeshi la Saudi Arabia nchini humo.
-
Iran: Uungaji mkono wa Saudia kwa ugaidi umelitumbukiza eneo kwenye machafuko
Jan 08, 2017 00:12Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Saudi Arabia imelitumbukiza eneo la Mashariki ya Kati kwenye machafuko kwa kuyaunga mkono makundi ya kitakfiri na kigaidi.
-
Wapinzani wa kupewa Saudia visiwa viwili vya Misri waja juu
Jan 07, 2017 23:43Wapinzani wa mpango wa serikali ya Misri wa kutaka kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya Tiran na Sanafir vya Bahari Nyekundu wamezidi kuonesha hasira zao na wameipa Cairo muda maalumu kuhakikisha imeachana na mpango wake huo.
-
Saudi Arabia yaendelea kufanya mashambulio ya anga nchini Yemen
Jan 06, 2017 23:50Wanajeshi wa Saudi Arabia na waitifaki wao wameendelea kufanya mashambulio ya anga dhidi ya Yemen huku jamii ya kimataifa ikiendelea kunyamazia kimya jinai hizo za utawala wa Aal Saud.
-
Saudia yalaani sheria ya JASTA ya Marekani
Jan 05, 2017 01:05Ubalozi wa Saudia mjini Washington Marekani umelaani sheria iliyo dhidi ya wafadhili wa ugaidi kwa kifupi JASTA ya nchini Marekani.
-
Harakati ya Aprili 6 yawataka Wamisri kupinga uamuzi wa al Sisi wa kugawa visiwa vya Tiran, Sanafir
Jan 02, 2017 02:51Harakati ya Aprili 6 nchini Misri imewataka wananchi wa nchi hiyo kusimama na kupinga uamuzi wa serikali ya Abdul Fattah al Sisi wa kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo vya Tiran na Sanafir.
-
Iran yakanusha kupokea barua ya Saudia ya mwaliko wa Hija
Jan 01, 2017 13:07Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha madai ya Saudi Arabia kuwa imetuma barua ya mwaliko kwa Iran wa kushiriki kwenye Hija ya mwaka ujao.
-
Saudia inaendelea kutoa misaada ya kifedha kwa magaidi Syria
Dec 27, 2016 11:17Saudia Arabia hivi karibuni imetoa msaada mwingine wa Riali Milioni 100 za Kisaudi ($ Milioni 26.5) kwa ajili ya magaidi nchini Syria.
-
Saudia yakiri kuwepo katika eneo maelfu ya magaidi wenye uraia wa nchi hiyo
Dec 26, 2016 13:07Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imekiri kuwa kuna magaidi zaidi ya elfu mbili raia wa nchi hiyo huko Syria na katika nchi zingine za Mashariki ya Kati.