-
Utawala wa Saudi Arabia wandelea kufanya mauaji ya kinyama nchini Yemen
Dec 19, 2016 11:13Ndege za kijeshi za Saudi Arabia zimeendelea kufanya mauaji ya kinyama dhidi ya raia huko nchini Yemen licha ya kuweko miito ya kuhitimishwa jinai hizo dhidi ya raia wasio na hatia.
-
Maelfu ya watu watiwa mbaroni Saudi Arabia kwa tuhuma za ugaidi
Dec 17, 2016 23:31Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imetangaza habari ya kutiwa nguvuni maelfu ya watu nchini humo kwa tuhuma za kuwa na mahusiano na makundi ya kigaidi.
-
Silaha za Uingereza zinatumiwa na nchi watenda jinai za eneo
Dec 14, 2016 00:56Gazeti la The Guardian limeandika kuwa Uingereza ni muuzaji mkubwa wa pili wa silaha na zana za kijeshi duniani na mdhamini wa silaha nyingi zaidi zinazotumiwa katika vita vinavyoendelea katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Mufti wa Algeria aikosoa vikali Saudia kwa kuongeza gharama za Hija, Umrah
Dec 09, 2016 23:16Mufti Mkuu wa Algeria ameukosoa vikali utawala wa Saudia Arabia kwa vitendo vyake vya kuwazuia Waislamu kutekekeleza ibada ya faradhi ya Hija na pia Umrah
-
Saudi Arabia kufungua kituo cha kijeshi Djibouti
Dec 04, 2016 11:29Katika kile kinachoonekana ni mkakati wa kupanua satua na uwepo wake wa kijeshi katika nchi za Afrika, utawala wa Saudi Arabia unapania kufungua kituo cha kijeshi nchini Djibouti.
-
HRW: Silaha za Marekani zinatumiwa na Saudia kutenda jinai za kivita Yemen
Dec 03, 2016 00:55Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa mara nyingine limetoa wito kwa Marekani kusitisha uuzaji wake wa silaha kwa Saudi Arabia.
-
Wanaharakati watatu wa Kishia wahukumiwa kunyongwa Saudia
Dec 01, 2016 04:00Mahakama moja ya Saudi Arabia imewahukumu kunyongwa wanaharakati watatu wa Kishia wa nchini humo.
-
Mashambulio ya ndege za kivita za Saudia yaendelea kuua raia wa Yemen
Nov 28, 2016 04:21Watu 19 wameuawa katika mashambulio mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya maeneo ya makaazi ya raia nchini Yemen.
-
El Sisi: Misri si mtumwa wa Saudi Arabia
Nov 27, 2016 12:30Rais wa Misri amesema, nchi yake kamwe haiwezi kufuata maamrisho ya Saudi Arabia katika mahusiano yake ya kieneo na kimataifa.
-
UN yatoa wito kwa Saudia iwaachie huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu
Nov 22, 2016 12:55Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza utiaji nguvuni kiholela unaofanywa duniani imetoa wito tena wa kuachiwa huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia.