-
Mtikisiko wa kiuchumi waifanya Saudia ianze kuuza hisa za Aramco
Dec 25, 2016 04:34Saudi Arabia imetangaza mpango wa kuanza kuuza karibu nusu ya hisa za shirika kubwa la mafuta nchini humo Aramco, ikiwa ni katika juhudi za kupunguza nakisi ya bajeti ya utawala huo.
-
Askari na mamluki wa Saudia wazidi kuangamizwa na vikosi vya Yemen
Dec 24, 2016 04:27Mamluki wasiopungua 16 wa Saudi Arabia huko nchini Yemen wameangamizwa kufuatia operesheni ya kijeshi ya jeshi la Yemen likisaidiwa na vikosi vya kujitolea vya wananchi.
-
Mamluki 97 wa Saudi Arabia waangamizwa katika operesheni ya kijeshi nchini Yemen
Dec 21, 2016 03:25Mamluki wasiopungua 97 wa Saudi Arabia huko nchini Yemen wameangamizwa kufuatia operesheni ya kijeshi ya kamati za wananchi huku wengine 50 wakijeruhiwa.
-
Saudia yakiri kutumia mabomu ya vishada nchini Yemen
Dec 20, 2016 04:19Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umekiri kwamba umetumia mabomu yaliyopigwa marufuku ya vishada katika mashambulizi yake dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
Kuburuzwa (P) GCC na Saudia na kutoa fursa kwa Marekani na Uingereza ya kujiingiza katika eneo
Dec 20, 2016 02:42Katibu Mkuu wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P) GCC Abdulatif Al-Zayyani, ametoa taarifa kuhusu Iran ambayo ndani yake imeelekeza kidole cha tuhuma kwa Jamhuri ya Kiislamu zinazobainisha muelekeo na misimamo ya kisiasa ya Saudi Arabia kuhusiana na Iran na eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Utawala wa Saudi Arabia wandelea kufanya mauaji ya kinyama nchini Yemen
Dec 19, 2016 11:13Ndege za kijeshi za Saudi Arabia zimeendelea kufanya mauaji ya kinyama dhidi ya raia huko nchini Yemen licha ya kuweko miito ya kuhitimishwa jinai hizo dhidi ya raia wasio na hatia.
-
Maelfu ya watu watiwa mbaroni Saudi Arabia kwa tuhuma za ugaidi
Dec 17, 2016 23:31Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imetangaza habari ya kutiwa nguvuni maelfu ya watu nchini humo kwa tuhuma za kuwa na mahusiano na makundi ya kigaidi.
-
Silaha za Uingereza zinatumiwa na nchi watenda jinai za eneo
Dec 14, 2016 00:56Gazeti la The Guardian limeandika kuwa Uingereza ni muuzaji mkubwa wa pili wa silaha na zana za kijeshi duniani na mdhamini wa silaha nyingi zaidi zinazotumiwa katika vita vinavyoendelea katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Mufti wa Algeria aikosoa vikali Saudia kwa kuongeza gharama za Hija, Umrah
Dec 09, 2016 23:16Mufti Mkuu wa Algeria ameukosoa vikali utawala wa Saudia Arabia kwa vitendo vyake vya kuwazuia Waislamu kutekekeleza ibada ya faradhi ya Hija na pia Umrah
-
Saudi Arabia kufungua kituo cha kijeshi Djibouti
Dec 04, 2016 11:29Katika kile kinachoonekana ni mkakati wa kupanua satua na uwepo wake wa kijeshi katika nchi za Afrika, utawala wa Saudi Arabia unapania kufungua kituo cha kijeshi nchini Djibouti.