-
Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti
Jan 27, 2018 04:30Kama ilivyo kwa sehemu nyingine, wiki hii iliyomalizikia na Ijumaa, kulikuwa na matukio mengi ya Kiislamu katika eneo la Afrika Mashariki. Mwandishi wa Radio Tehran visiwani Zanzibar, Harith Subeit amekusanya baadhi ya matukio hayo na kutuandalia ripoti hiyo hapo juu.
-
Miaka 25 ya Chama cha Wananchi CUF nchini Tanzania + Sauti
Jan 23, 2018 05:03Chama cha WAnanchi CUF cha nchini Tanzania kimetimiza miaka 25 ya kuasisiwa kwake kikiwa kinakabiliwa na changamoto nyingi za kila upande. Mwandishi wa Radio Tehran, Harith Subeit ametuandalia ripoti ifuatayo:
-
Ziara ya Rais wa Zanzibar nchini Imarati + Sauti
Jan 22, 2018 02:45RAis wa Zanzibar, Dk Ali Muhammed Shein yuko katika ziara ya kikazi ya wiki moja katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati). Maelezo zaidi yamo katika ripoti ya mwandishi wa Radio Tehran, visiwani Zanzibar, Harith Subeit.
-
Iran na Uganda zatia nia ya kuimarisha uhusiano baina yao + Sauti
Jan 13, 2018 06:01Wizara ya Mambo ya Nje ya Uganda imeitaka kamati maalumu iliyopewa jukumu la kufuatilia makubaliano ya pande mbili kati ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuongeza kasi ya kuhakikisha vipengee vyote vya mapatano hayo vinatekelezwa. Mwandishi wa Radio Tehran ana maelezo zaidi kutoka Kampala
-
Tundu Lissu amshangaa Rais Magufuli kutozungumza chochote kuhusu waliomshambulia
Jan 05, 2018 14:52Mwanasheria Mkuu wa chama cha CHADEMA cha nchini Tanzania amesema kuwa anaamini serikali ya Tanzania ilikuwa inajua vyema kuhusu shambulio dhidi yake. Amesema hayo leo Ijumaa mbele ya waandishi wa habari nchini Kenya akiwa katika maandalizi ya kurejea Tanzania kesho Jumamosi. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti hii ya mwandishi wa Radio Tehran.
-
Museveni 'ajirefushia' muda wa kubakia madarakani + SAUTI
Jan 03, 2018 04:04Rais Yoweri Museveni wa Uganda ametia saini na kuufanya kuwa sheria muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa rais wa nchi hiyo, suala ambalo limemfungulia njia ya kuwania tena urais mwaka 2021.
-
Qur'ani ya kwanza kabisa kuwahi kufasiriwa kwa lugha ya Kirundi + SAUTI
Dec 26, 2017 06:10Kwa mara ya kwanza katika historia ya Uislamu nchini Burundi kumezinduliwa tafsiri ya Qur'ani nzima kwa lugha ya Kirundi.
-
Burundi kurefusha muda wa urais kutoka miaka mitano hadi saba, Pierre Nkurunzinza kuendelea kutawala
Dec 19, 2017 05:57Serikali ya Burundi iko mbioni kufanyia marekebisho katiba ya nchi hiyo na kumuongezea muda wa kutawala rais kutoka miaka mitano hadi saba, suala ambalo linatoa fursa kwa Rais Nkurunziza kuiongoza nchi hiyo hadi mwaka 2034. Hamida Issa na maelezo zaidi
-
Sheikh Ponda Issa Ponda ashinda tena kesi mahakamani Tanzania + Sauti
Dec 19, 2017 05:53Kwa mara nyingine tena Sheikh Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya za Kiislamu nchini Tanzania kwa mara nyingine tena ameshinda kesi mahakamani na hivyo kuachiliwa huru. Mwandishi wetu Silvano Kayera na maelezo zaidi kutoka jijini Dar es Salaam.
-
Juhudi za kukuza Kiswahili nchini Rwanda
Dec 19, 2017 05:51Juhudi za kukuza lugha tamu ya Kiswahili zinaendelea nchini Rwanda, baada ya nchi hiyo kukitangaza Kiswahili kuwa lugha ya nne rasmi nchini humo. Mwandishi wetu Sylvanus Karemera na maelezo zaidi kutoka Kigali.