Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti
Jan 27, 2018 04:30 UTC
Kama ilivyo kwa sehemu nyingine, wiki hii iliyomalizikia na Ijumaa, kulikuwa na matukio mengi ya Kiislamu katika eneo la Afrika Mashariki. Mwandishi wa Radio Tehran visiwani Zanzibar, Harith Subeit amekusanya baadhi ya matukio hayo na kutuandalia ripoti hiyo hapo juu.
Tags