Juhudi za kukuza Kiswahili nchini Rwanda
Dec 19, 2017 05:51 UTC
Juhudi za kukuza lugha tamu ya Kiswahili zinaendelea nchini Rwanda, baada ya nchi hiyo kukitangaza Kiswahili kuwa lugha ya nne rasmi nchini humo. Mwandishi wetu Sylvanus Karemera na maelezo zaidi kutoka Kigali.
Tags