Ziara ya Rais wa Zanzibar nchini Imarati + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i39301-ziara_ya_rais_wa_zanzibar_nchini_imarati_sauti
RAis wa Zanzibar, Dk Ali Muhammed Shein yuko katika ziara ya kikazi ya wiki moja katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati). Maelezo zaidi yamo katika ripoti ya mwandishi wa Radio Tehran, visiwani Zanzibar, Harith Subeit.
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Jan 22, 2018 02:45 UTC

RAis wa Zanzibar, Dk Ali Muhammed Shein yuko katika ziara ya kikazi ya wiki moja katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati). Maelezo zaidi yamo katika ripoti ya mwandishi wa Radio Tehran, visiwani Zanzibar, Harith Subeit.