Ziara ya Rais wa Zanzibar nchini Imarati + Sauti
Jan 22, 2018 02:45 UTC
RAis wa Zanzibar, Dk Ali Muhammed Shein yuko katika ziara ya kikazi ya wiki moja katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati). Maelezo zaidi yamo katika ripoti ya mwandishi wa Radio Tehran, visiwani Zanzibar, Harith Subeit.
Tags