Sheikh Ponda Issa Ponda ashinda tena kesi mahakamani Tanzania + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i37805-sheikh_ponda_issa_ponda_ashinda_tena_kesi_mahakamani_tanzania_sauti
Kwa mara nyingine tena Sheikh Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya za Kiislamu nchini Tanzania kwa mara nyingine tena ameshinda kesi mahakamani na hivyo kuachiliwa huru. Mwandishi wetu Silvano Kayera na maelezo zaidi kutoka jijini Dar es Salaam.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Dec 19, 2017 05:53 UTC

Kwa mara nyingine tena Sheikh Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya za Kiislamu nchini Tanzania kwa mara nyingine tena ameshinda kesi mahakamani na hivyo kuachiliwa huru. Mwandishi wetu Silvano Kayera na maelezo zaidi kutoka jijini Dar es Salaam.