Sheikh Ponda Issa Ponda ashinda tena kesi mahakamani Tanzania + Sauti
Dec 19, 2017 05:53 UTC
Kwa mara nyingine tena Sheikh Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya za Kiislamu nchini Tanzania kwa mara nyingine tena ameshinda kesi mahakamani na hivyo kuachiliwa huru. Mwandishi wetu Silvano Kayera na maelezo zaidi kutoka jijini Dar es Salaam.
Tags