Iran na Uganda zatia nia ya kuimarisha uhusiano baina yao + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i38915-iran_na_uganda_zatia_nia_ya_kuimarisha_uhusiano_baina_yao_sauti
Wizara ya Mambo ya Nje ya Uganda imeitaka kamati maalumu iliyopewa jukumu la kufuatilia makubaliano ya pande mbili kati ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuongeza kasi ya kuhakikisha vipengee vyote vya mapatano hayo vinatekelezwa. Mwandishi wa Radio Tehran ana maelezo zaidi kutoka Kampala
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Jan 13, 2018 06:01 UTC

Wizara ya Mambo ya Nje ya Uganda imeitaka kamati maalumu iliyopewa jukumu la kufuatilia makubaliano ya pande mbili kati ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuongeza kasi ya kuhakikisha vipengee vyote vya mapatano hayo vinatekelezwa. Mwandishi wa Radio Tehran ana maelezo zaidi kutoka Kampala