Aug 03, 2023 11:08
Utulivu wa kiwango fulani umerejea katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Ain Al-Hilweh nchini Lebanon kufuatia matamshi ya Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrallah, ya kusisitizia ulazima wa kusitishwa mapigano katika kambi hiyo.