Feb 18, 2023 10:51
Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon juzi Februari 16, alieleza malengo ya maadui katika hotuba yake kwa mnasaba wa kumbukumbu ya makamanda wa harakati ya Muqawama waliouawa shahidi, Sheikh Ragheb Harb, Sayyid Abbas Mousawi na Haj Emad Mughniyeh.