-
Magaidi washambulia msikiti kwa bomu na kuua makumi, Afghanistan
Aug 02, 2017 08:08Habari kutoka Afghanistan zinaarifu kwamba, makumi ya watu wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi dhidi ya msikiti mmoja wa Waislamu wa madhehebu ya Shia lililotokea jana jioni mjini Herat, magharibi mwa nchi hiyo.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia
Jul 30, 2017 15:14Watu sita wameuawa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa baada ya bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Waziri Mkuu wa Uingereza ataka misikiti ilindwe baada ya gaidi kushambulia Waislamu, London
Jun 20, 2017 02:33Waziri Mkuu wa Uingereza ametoa wito wa kuzidishwa ulinzi wa misikiti ya Waislamu baada ya gaidi kushambulia Waislamu waliokuwa wamekamilisha ibada ya Swala mjini London.
-
Watano wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu, Cairo, Misri
Jun 18, 2017 07:42Mripuko mmoja wa bomu uliotokea kusini mwa Cairo, mji mkuu wa Misri umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine wanne.
-
Alaeddin Boroujerdi: Marekani ni mpangaji mkuu wa njama dhidi ya Iran
Jun 10, 2017 03:57Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mashambulio ya kigaidi ya siku ya Jumatano hapa mjini Tehran na kusema kuwa, hapana shaka kuwa, mpangaji mkuu wa njama hiyo ni Marekani mtenda jinai.
-
Mohammadi-Golpayegani: Maadui hawawezi kulikatisha tamaa taifa la Iran kwa kufanya mauaji
Jun 09, 2017 15:25Mkuu wa ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, hatua ya maadui ya kufanya mauaji katu haiwezi kulikatisha tamaa taifa la Iran.
-
Wairan wawaaga mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi ya Tehran
Jun 09, 2017 08:21Shughuli ya kuwaaga mashahidi wa mashambulizi ya juzi hapa Tehran imefanyika kwa kuhudhuriwa na viongozi wa ngazi ya juu pamoja na familia za mashahidi hao katika ukumbi wa Aftab wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi ya kigaidi ya Tehran hayatavuruga azma ya taifa la Iran
Jun 09, 2017 08:21Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa ujumbe wa rambirambi kwa mnasaba wa mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika siku chache zilizopita mjini Tehran akisisitiza kuwa, jinai hiyo haiwezi kutia doa katika irada na azma ya taifa la Iran.
-
Rouhani: Iran itajibu mapigo ya maadui kupitia umoja na mshikamano
Jun 08, 2017 06:53Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itasambaratisha njama za maadui kupitia umoja na mshikamano wa wananchi wa taifa hili.
-
Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran
Jun 08, 2017 06:46Katika hali ambayo dunia nzima inaendelea kutoa mkono wa pole na kutuma salamu za rambirambi kufuatia mashambulio pacha ya kigaidi yaliyotokea jana hapa mjini Tehran, Rais Donald Trump wa Marekani ametoa ujumbe unaoonekana kuwalaumu na kuwakejeli mashahidi waliouawa katika hujuma hizo.