Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Magaidi washambulia msikiti kwa bomu na kuua makumi, Afghanistan

    Magaidi washambulia msikiti kwa bomu na kuua makumi, Afghanistan

    Aug 02, 2017 08:08

    Habari kutoka Afghanistan zinaarifu kwamba, makumi ya watu wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi dhidi ya msikiti mmoja wa Waislamu wa madhehebu ya Shia lililotokea jana jioni mjini Herat, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Jul 30, 2017 15:14

    Watu sita wameuawa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa baada ya bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Waziri Mkuu wa Uingereza ataka misikiti ilindwe baada ya gaidi kushambulia Waislamu, London

    Waziri Mkuu wa Uingereza ataka misikiti ilindwe baada ya gaidi kushambulia Waislamu, London

    Jun 20, 2017 02:33

    Waziri Mkuu wa Uingereza ametoa wito wa kuzidishwa ulinzi wa misikiti ya Waislamu baada ya gaidi kushambulia Waislamu waliokuwa wamekamilisha ibada ya Swala mjini London.

  • Watano wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu, Cairo, Misri

    Watano wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu, Cairo, Misri

    Jun 18, 2017 07:42

    Mripuko mmoja wa bomu uliotokea kusini mwa Cairo, mji mkuu wa Misri umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine wanne.

  • Alaeddin Boroujerdi: Marekani ni mpangaji mkuu wa njama dhidi ya Iran

    Alaeddin Boroujerdi: Marekani ni mpangaji mkuu wa njama dhidi ya Iran

    Jun 10, 2017 03:57

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mashambulio ya kigaidi ya siku ya Jumatano hapa mjini Tehran na kusema kuwa, hapana shaka kuwa, mpangaji mkuu wa njama hiyo ni Marekani mtenda jinai.

  • Mohammadi-Golpayegani: Maadui hawawezi kulikatisha tamaa taifa la Iran kwa kufanya mauaji

    Mohammadi-Golpayegani: Maadui hawawezi kulikatisha tamaa taifa la Iran kwa kufanya mauaji

    Jun 09, 2017 15:25

    Mkuu wa ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, hatua ya maadui ya kufanya mauaji katu haiwezi kulikatisha tamaa taifa la Iran.

  • Wairan wawaaga mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi ya Tehran

    Wairan wawaaga mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi ya Tehran

    Jun 09, 2017 08:21

    Shughuli ya kuwaaga mashahidi wa mashambulizi ya juzi hapa Tehran imefanyika kwa kuhudhuriwa na viongozi wa ngazi ya juu pamoja na familia za mashahidi hao katika ukumbi wa Aftab wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi ya kigaidi ya Tehran hayatavuruga azma ya taifa la Iran

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi ya kigaidi ya Tehran hayatavuruga azma ya taifa la Iran

    Jun 09, 2017 08:21

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa ujumbe wa rambirambi kwa mnasaba wa mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika siku chache zilizopita mjini Tehran akisisitiza kuwa, jinai hiyo haiwezi kutia doa katika irada na azma ya taifa la Iran.

  • Rouhani: Iran itajibu mapigo ya maadui kupitia umoja na mshikamano

    Rouhani: Iran itajibu mapigo ya maadui kupitia umoja na mshikamano

    Jun 08, 2017 06:53

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itasambaratisha njama za maadui kupitia umoja na mshikamano wa wananchi wa taifa hili.

  • Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran

    Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran

    Jun 08, 2017 06:46

    Katika hali ambayo dunia nzima inaendelea kutoa mkono wa pole na kutuma salamu za rambirambi kufuatia mashambulio pacha ya kigaidi yaliyotokea jana hapa mjini Tehran, Rais Donald Trump wa Marekani ametoa ujumbe unaoonekana kuwalaumu na kuwakejeli mashahidi waliouawa katika hujuma hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS