Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Kituo cha polisi chashambuliwa Somalia, 23 wauawa na kujeruhiwa

    Kituo cha polisi chashambuliwa Somalia, 23 wauawa na kujeruhiwa

    Jun 05, 2017 14:09

    Watu watatu wameuawa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa katika shambulizi la guruneti dhidi ya kituo cha polisi nchini Somalia mapema leo Jumatatu.

  • Maafisa polisi 7, raia 1 wauawa katika shambulizi la bomu Lamu, Kenya

    Maafisa polisi 7, raia 1 wauawa katika shambulizi la bomu Lamu, Kenya

    May 31, 2017 15:00

    Maafisa saba wa polisi ya utawala wameuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa kando ya barabara katika kaunti ya Lamu, kusini mashariki mwa Kenya.

  • Misri: Kuna uwezekano tukashambuliwa tena na magaidi

    Misri: Kuna uwezekano tukashambuliwa tena na magaidi

    May 29, 2017 04:01

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imesema kuwa, kuna uwezekano makundi ya kigaidi yakafanya tena mashambulizi nchini humo, hivyo imevitaka vikosi vya usalama kuchukua hatua kali za kiusalama kukabiliana na jambo hilo.

  • Shambulio la kigaidi nchini Misri

    Shambulio la kigaidi nchini Misri

    May 27, 2017 10:51

    Watu wasiopungua 28 waliuawa nchini Misri na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la jana Ijumaa dhidi ya mabasi mawili yaliyokuwa yamewabeba Wakristo wa Kibti kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo Cairo.

  • Askari polisi 5 wa Kenya wauawa katika shambulizi la bomu

    Askari polisi 5 wa Kenya wauawa katika shambulizi la bomu

    May 25, 2017 13:59

    Kwa akali maafisa watano wa polisi nchini Kenya wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea leo Alkhamisi eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Magaidi wa ISIS washambulia kambi ya wakimbizi Syria na kuua 36

    Magaidi wa ISIS washambulia kambi ya wakimbizi Syria na kuua 36

    May 03, 2017 03:45

    Kwa akali watu 36 wameuawa katika shambulizi la kigaidi dhidi ya kambi ya wakimbizi lililofanywa jana Jumanne na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, kaskazini mashariki mwa Syria.

  • Askari 8 wa Somalia wauawa katika shambulizi la bomu, Puntland

    Askari 8 wa Somalia wauawa katika shambulizi la bomu, Puntland

    Apr 23, 2017 14:03

    Wanajeshi wanane wameuawa katika mlipuko wa bomu uliotokea katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Polisi ya Ufaransa: Mtekelezaji wa shambulizi la Paris alikuwa mhalifu sugu

    Polisi ya Ufaransa: Mtekelezaji wa shambulizi la Paris alikuwa mhalifu sugu

    Apr 22, 2017 03:43

    Polisi ya Ufaransa imetangaza kuwa, mtu aliyehusika na shambulizi la jana mjini Paris alikuwa na historia ya uhalifu na kufungwa jela.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya mabasi huko Aleppo, Syria

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya mabasi huko Aleppo, Syria

    Apr 16, 2017 04:43

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya mabomu dhidi ya mabasi yaliyokuwa yanawahamisha watu kutoka vijiji ambavyo aghalabu ya wakazi wake ni Waislamu wa madhehebu ya Shia huko katika mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Larijani: Lengo la makundi ya kigaidi ni kuzusha udini duniani

    Larijani: Lengo la makundi ya kigaidi ni kuzusha udini duniani

    Apr 11, 2017 15:22

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya makanisa mawili nchini Misri siku ya Jumapili iliyopita ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa huku akisisitiza kuwa, lengo la magaidi ni kuzusha mifarakano ya kidini duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS