Mar 24, 2017 04:34
Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May Alkhamisi ya jana amehutubi Bunge la nchi hiyo na kukiri kuwa mtekelezaji wa hujuma ya kigaidi Jumatano iliyopita karibu na jengo la Bunge la nchi hiyo, alikuwa anajulikana katika vyombo vya usalama vya Uingereza.