-
Watu kadhaa wauawa katika miripuko Maiduguri, Nigeria
Mar 04, 2017 04:12Polisi nchini Nigeria imesema watu kadhaa waliuawa katika wimbi la mashambulizi ya mabomu katika mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo jana Ijumaa.
-
Iran yalaani mauaji ya watu 80 katika Haram ya Sufi nchini Pakistan
Feb 17, 2017 11:29Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana Alkhamisi katika mkoa wa Sindh nchini Pakistan, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.
-
5 wauawa kwa risasi kwenye hujuma dhidi ya msikiti Quebec, Canada
Jan 30, 2017 04:08Kwa akali watu watano wameuawa katika hujuma ya kikatili dhidi ya msikiti mmoja katika mji wa Quebec nchini Canada usiku wa kuamkia leo.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi Uturuki, idadi ya waliouawa yaongezeka
Jan 01, 2017 04:40Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika mji wa Istanbul nchini Uturuki.
-
70 wauawa, kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Instabul, Uturuki
Jan 01, 2017 01:08Makumi ya watu wanaripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika klabu moja ya anasa mjini Instabul nchini Uturuki.
-
Watu sita wauawa katika shambulio la kigaidi Somalia
Dec 28, 2016 11:11Watu sita wameuawa katika shambulio lililofanywa leo na wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabab.
-
11 wauliwa katika kituo cha jeshi cha upekuzi nchini Burkina Faso
Dec 16, 2016 12:21Wanajeshi kumi na polisi mmoja wameuawa leo kaskazini mwa Burkina Faso baada ya watu wenye silaha wasiofahamika kukishambulia kituo cha upekuzi cha jeshi.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya eneo la kidini Misri
Dec 12, 2016 03:52Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga kanisa moja katika mji mkuu wa Misri, Cairo na kusababisha vifo vya makumi ya watu.
-
Mkuu wa Azhar ya Misri alaani hujuma ya kigaidi dhidi ya kanisa Cairo
Dec 11, 2016 23:11Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya kanisa moja mjini Cairo na kuua makumi ya watu hapo jana.
-
Waislamu Nigeria wazidi kushinikizwa na serikali kwa kisingizio cha kuimarishwa usalama
Dec 11, 2016 23:09Kufuatia kuongezeka hujuma za kigaidi nchini Nigeria, serikali ya Abuja inatumia kisingizio hicho kuwakadamiza wananchi hasa Waislamu.