Kwa akali watu watano wameuawa katika hujuma ya kikatili dhidi ya msikiti mmoja katika mji wa Quebec nchini Canada usiku wa kuamkia leo.
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika mji wa Istanbul nchini Uturuki.
Makumi ya watu wanaripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika klabu moja ya anasa mjini Instabul nchini Uturuki.
Watu sita wameuawa katika shambulio lililofanywa leo na wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabab.
Wanajeshi kumi na polisi mmoja wameuawa leo kaskazini mwa Burkina Faso baada ya watu wenye silaha wasiofahamika kukishambulia kituo cha upekuzi cha jeshi.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga kanisa moja katika mji mkuu wa Misri, Cairo na kusababisha vifo vya makumi ya watu.
Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya kanisa moja mjini Cairo na kuua makumi ya watu hapo jana.
Kufuatia kuongezeka hujuma za kigaidi nchini Nigeria, serikali ya Abuja inatumia kisingizio hicho kuwakadamiza wananchi hasa Waislamu.
Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Balozi na Naibu Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amekikosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi na kulitaka Baraza la Usalama la umoja huo kutekeleza majukumu yake ipasavyo kuhusiana na suala zima la ugaidi.