Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Makumi wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Nigeria

    Makumi wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Nigeria

    Dec 10, 2016 00:26

    Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Iran yakosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi

    Iran yakosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi

    Nov 27, 2016 04:09

    Balozi na Naibu Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amekikosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusiana na vitendo vya kigaidi na kulitaka Baraza la Usalama la umoja huo kutekeleza majukumu yake ipasavyo kuhusiana na suala zima la ugaidi.

  • Magaidi washambulia msikiti kwa bomu na kuua makumi Kabul, Afghanistan

    Magaidi washambulia msikiti kwa bomu na kuua makumi Kabul, Afghanistan

    Nov 22, 2016 02:51

    Makumi ya watu wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti wa Kishia katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, wakati wa maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein AS.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Pakistan

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Pakistan

    Nov 13, 2016 12:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana Jumamosi katika mkoa wa Baluchestan nchini Pakistan, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Magaidi washambulia msikiti Kabul na kuua makumi usiku wa Tasua

    Magaidi washambulia msikiti Kabul na kuua makumi usiku wa Tasua

    Oct 12, 2016 04:23

    Kundi moja la kigaidi na kitakfiri nchini Afghanistan limefanya shambulizi la pili dhidi ya Waislamu wa madhebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika msikitini wakifanya maombelezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS.

  • 42 wauawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu Libya

    42 wauawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu Libya

    Aug 02, 2016 23:27

    Makumi ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini lililolenga wanajeshi wa serikali katika mji wa Benghazi, mashariki mwa Libya.

  • 10 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu

    10 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu

    Jul 31, 2016 11:48

    Kwa akali watu 10 wameuawa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa garini katika makao makuu ya Idara ya Upelelezi mjini Mogadishu nchini Somalia.

  • Magaidi 120 wa Daesh wauawa Afghanistan

    Magaidi 120 wa Daesh wauawa Afghanistan

    Jul 26, 2016 23:30

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameuawa katika operesheni kali ya jeshi la Afghanistan, katika mkoa wa Nangarhar, kaskzini mwa nchi.

  • 13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia

    13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia

    Jul 26, 2016 12:24

    Mashambulizi pacha ya mabomu yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 13 karibu na kambi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM na nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Mogadishu.

  • Hollande: Tutatumia kila njia kukabiliana na magaidi wa Daesh

    Hollande: Tutatumia kila njia kukabiliana na magaidi wa Daesh

    Jul 26, 2016 12:19

    Rais Francois Hollande wa Ufaransa amesema serikali yake itatafanya kila liwezekanalo ili kukomesha kikamilifu mashambulizi na harakati za kundi la kigaidi na kitakfiri la Desh (ISIS) nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS