-
McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya
Jul 25, 2016 12:36Mbunge wa zamani katika Kongresi ya Marekani amefichua nafasi ya utawala wa kizayuni wa Israel katika mashambulizi ya kigaidi yanayofanyika barani Ulaya.
-
Shambulizi jingine la bomu Iraq, makumi wauawa
Jul 25, 2016 03:26Kwa akali watu 18 wameuawa na wengine 23 kujeruhiwa katika hujuma nyingine ya kigaidi mashariki mwa Iraq, siku moja baada ya shambulizi jingine la bomu kuua na kujeruhi makumi ya watu katika mji mkuu Baghdad.
-
30 wauwa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Baghdad, Iraq
Jul 24, 2016 03:19Kwa akali watu 10 wamethibitishwa kupoteza maisha na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea mapema leo katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
Zarif: Masunni na Mashia lazima waungane kuzima ugaidi
Jul 24, 2016 00:00Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi ya hapo jana iliyosababisha vifo vya makumi ya watu nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa, wakati umefika kwa Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni waungane kwa shabaha ya kulikabili kwa pamoja jinamizi la ugaidi.
-
Iran yaalani shambulio la kigaidi Munich, Ujerumani
Jul 23, 2016 02:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotekelezwa katika mji wa Munich, Ujerumani na kutoa mkono wa pole kwa wananchi na serikali ya nchi hiyo.
-
Hizbullah, Hamas zalaani shambulizi la kigaidi Nice
Jul 16, 2016 02:18Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) zimelaani shambulizi la kigaidi lililofanyika katika mji wa Nice nchini Ufaransa.
-
Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10
Jul 11, 2016 03:19Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeshambulia kwa bomu kambi moja ya jeshi kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuua wanajeshi 10 wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Askari 12 wa Libya wauawa katika hujuma ya bomu Benghazi
Jul 07, 2016 09:36Kwa akali askari 12 wa jeshi la Libya wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
80 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Baghdad, Iraq
Jul 03, 2016 02:52Watu wasiopungua 80 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya mabomu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
18 waua katika shambulizi la bomu nchini Somalia
Jun 30, 2016 03:46Kwa akali watu 18 wameripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu mapema leo katika mji wa Lafole, kusini magharibi mwa Somalia.