-
Wanachama 400 wa Daesh wameingia Ulaya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi
Mar 24, 2016 03:57Kundi la kigaidi la Daesh limetuma wanachama 400 katika nchi za Ulaya kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya kigaidi.
-
Wanachama 400 wa Daesh wameingia Ulaya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi
Mar 24, 2016 03:35Kundi la kigaidi la Daesh limetuma wanachama 400 katika nchi za Ulaya kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya kigaidi.
-
Mashambulizi ya kigaidi ya Brussels
Mar 23, 2016 03:37Mashambulizi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels yameendelea kuakisiwa na kulaaniwa sana katika vyombo vya habari na duru za kimataifa.
-
Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels
Mar 23, 2016 02:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels na kusababisha vifo vya makumi ya watu.
-
Zarif alaani mashambulizi ya kigaidi ya Ubelgiji
Mar 22, 2016 21:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzo kwa simu na mwenzake wa Ubelgiji akilaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Brussels.
-
Shambulizi dhidi ya msikiti Nigeria laendelea kulaaniwa
Mar 18, 2016 11:12Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti nchini Nigeria na kuua watu 25.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Ivory Coast
Mar 15, 2016 11:54Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi ya hivi karibuni iliyosababisha watu 19 kuuawa nchini Ivory Coast.
-
Polisi 3 wauawa katika hujuma ya al-Shabab Somalia
Mar 09, 2016 04:34Kwa akali maafisa watatu wa polisi ya Somalia wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini mapema leo Jumatano katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Upinzani dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Magharibi nchini Libya
Mar 06, 2016 04:00Sanjari na upinzani wa baadhi ya nchi za Kiarabu dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Magharibi katika mgogoro wa Libya, Waziri wa Afya wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ametoa indhari kuhusiana na kutokea maafa ya kibinadamu katika nchi hiyo.
-
Makumi wauawa katika miripuko ya mabomu Syria
Feb 21, 2016 12:43Kwa akali watu 30 wamethibitishwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika wimbi la miripuko ya mabomu lililotikisa viunga vya mji mkuu Damascus na Homs nchini Syria.