Mar 06, 2016 07:30
Sanjari na upinzani wa baadhi ya nchi za Kiarabu dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Magharibi katika mgogoro wa Libya, Waziri wa Afya wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ametoa indhari kuhusiana na kutokea maafa ya kibinadamu katika nchi hiyo.