-
Watu 15 wauawa Nigeria katika shambulizi la Boko Haram
Dec 15, 2019 04:22Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika mji wa Magumeri, mkoani Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al Shabab dhidi ya Ikulu ya Rais mjini Mogadishu
Dec 11, 2019 03:21Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limewaangamiza wapiganaji 5 wa kundi la kigaidi la al Shabab waliojaribu kuingia na kuhujumu Ikulu ya Rais na hoteli moja iliyoko karibu na eneo hilo mjini Mogadishu.
-
Watu 37 wauawa katika shambulizi dhidi ya mgodi wa dhahabu Burkina Faso
Nov 06, 2019 21:43Kwa akali watu 20 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa, baada ya watu waliobeba silaha kushambulia mgodi wa dhahabu kaskazini mwa Burkina Faso.
-
Askari 53 wa Mali wauawa katika hujuma iliyolenga kambi ya jeshi
Nov 02, 2019 03:15Jeshi la Mali limetangaza kuwa, wanajeshi wake 53 na raia mmoja wameuawa katika hujuma iliyofanywa na kundi la watu waliokuwa na silaha dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Watu 16 wauawa katika shambulizi la kigaidi Burkina Faso
Oct 29, 2019 03:22Maafisa wa serikali ya Burkina Faso wametangaza kuwa, watu 16 wameuawa katika kile kinachosadikika kuwa ni shambulizi la kigaidi kaskazini mwa nchi.
-
Jeshi la Mali laua magaidi 50 katika operesheni ya kulipiza kisasi
Oct 19, 2019 23:04Kwa akali magaidi 50 wameuawa katika operesheni ya kulipiza kisasi ya Jeshi la Mali katikati ya nchi.
-
Shambulizi dhidi ya msikiti laua watu 15 Burkina Faso
Oct 13, 2019 04:28Kwa akali watu 15 wameuawa baada ya watu waliobeba silaha kushambulia msikiti mmoja kaskazini mwa Burkina Faso.
-
Magaidi wa Boko Haram waua watu 27 Nigeria
Oct 06, 2019 08:30Watu 27 wamepoteza maisha kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulizi la kigaidi ambalo limetekelezwa na kundi la Boko Haram linalofungamna na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).
-
Rais wa Afghanistan anusurika katika shambulizi la bomu la Taliban
Sep 17, 2019 22:11Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan ameponea chupuchupu katika shambulizi la bomu lililojiri karibu na mkutano wake wa kisiasa katika mji wa Charikar, makao makuu ya mkoa wa Parwan kaskazini mwa Kabul.
-
Polisi Norway yasema shambulizi dhidi ya Msikiti wa Al-Noor lilikuwa la kigaidi
Aug 11, 2019 08:46Polisi ya Norway imesema kuwa, hujuma iliyofanywa jana Jumamosi dhidi ya msikiti mmoja katika viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo, Oslo lilikuwa shambulizi la kigaidi.