Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Watu 15 wauawa Nigeria katika shambulizi la Boko Haram

    Watu 15 wauawa Nigeria katika shambulizi la Boko Haram

    Dec 15, 2019 07:52

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika mji wa Magumeri, mkoani Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al Shabab dhidi ya Ikulu ya Rais mjini Mogadishu

    Jeshi la Somalia lazima shambulizi la al Shabab dhidi ya Ikulu ya Rais mjini Mogadishu

    Dec 11, 2019 06:51

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa, limewaangamiza wapiganaji 5 wa kundi la kigaidi la al Shabab waliojaribu kuingia na kuhujumu Ikulu ya Rais na hoteli moja iliyoko karibu na eneo hilo mjini Mogadishu.

  • Watu 37 wauawa katika shambulizi dhidi ya mgodi wa dhahabu Burkina Faso

    Watu 37 wauawa katika shambulizi dhidi ya mgodi wa dhahabu Burkina Faso

    Nov 07, 2019 01:13

    Kwa akali watu 20 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa, baada ya watu waliobeba silaha kushambulia mgodi wa dhahabu kaskazini mwa Burkina Faso.

  • Askari 53 wa Mali wauawa katika hujuma iliyolenga kambi ya jeshi

    Askari 53 wa Mali wauawa katika hujuma iliyolenga kambi ya jeshi

    Nov 02, 2019 06:45

    Jeshi la Mali limetangaza kuwa, wanajeshi wake 53 na raia mmoja wameuawa katika hujuma iliyofanywa na kundi la watu waliokuwa na silaha dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Watu 16 wauawa katika shambulizi la kigaidi Burkina Faso

    Watu 16 wauawa katika shambulizi la kigaidi Burkina Faso

    Oct 29, 2019 06:52

    Maafisa wa serikali ya Burkina Faso wametangaza kuwa, watu 16 wameuawa katika kile kinachosadikika kuwa ni shambulizi la kigaidi kaskazini mwa nchi.

  • Jeshi la Mali laua magaidi 50 katika operesheni ya kulipiza kisasi

    Jeshi la Mali laua magaidi 50 katika operesheni ya kulipiza kisasi

    Oct 20, 2019 02:34

    Kwa akali magaidi 50 wameuawa katika operesheni ya kulipiza kisasi ya Jeshi la Mali katikati ya nchi.

  • Shambulizi dhidi ya msikiti laua watu 15 Burkina Faso

    Shambulizi dhidi ya msikiti laua watu 15 Burkina Faso

    Oct 13, 2019 07:58

    Kwa akali watu 15 wameuawa baada ya watu waliobeba silaha kushambulia msikiti mmoja kaskazini mwa Burkina Faso.

  • Magaidi wa Boko Haram waua watu 27 Nigeria

    Magaidi wa Boko Haram waua watu 27 Nigeria

    Oct 06, 2019 12:00

    Watu 27 wamepoteza maisha kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulizi la kigaidi ambalo limetekelezwa na kundi la Boko Haram linalofungamna na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).

  • Rais wa Afghanistan anusurika katika shambulizi la bomu la Taliban

    Rais wa Afghanistan anusurika katika shambulizi la bomu la Taliban

    Sep 18, 2019 02:41

    Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan ameponea chupuchupu katika shambulizi la bomu lililojiri karibu na mkutano wake wa kisiasa katika mji wa Charikar, makao makuu ya mkoa wa Parwan kaskazini mwa Kabul.

  • Polisi Norway yasema shambulizi dhidi ya Msikiti wa Al-Noor lilikuwa la kigaidi

    Polisi Norway yasema shambulizi dhidi ya Msikiti wa Al-Noor lilikuwa la kigaidi

    Aug 11, 2019 13:16

    Polisi ya Norway imesema kuwa, hujuma iliyofanywa jana Jumamosi dhidi ya msikiti mmoja katika viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo, Oslo lilikuwa shambulizi la kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS