Feb 20, 2019 02:42
Kamanda wa kikosi cha nchi kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema kuwa, gaidi aliyejilipua kwa bomu na wenzake wawili kati ya waliohusika na shambulizi la kigaidi lililofanyika siku chache zilizopita dhidi ya askari wa jeshi hilo katika mkoa wa Sistan na Baluchestan wametambuliwa kuwa ni raia wa Pakistan.