Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sheikh Ibrahim Zakzaky

  • Mke wa Sheikh Zakzaky aambukizwa corona akiwa kifungoni

    Mke wa Sheikh Zakzaky aambukizwa corona akiwa kifungoni

    Jan 23, 2021 04:59

    Mtoto wa Sheikh Ibrahim Zakzaky Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa mama yake amepatwa na maambukizi ya corona wakati ambapo yupo jela.

  • Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Jan 12, 2021 07:54

    Wafuasi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wamefanya maandamano makubwa katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo wakitaka kuachiwa huru kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa jela kwa miaka kadhaa sasa.

  • "Saudia imeipa serikali ya Nigeria mamilioni ya dola imuue Sheikh Zakzaky"

    Dec 17, 2020 07:39

    Wakili wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia umeipa serikali ya Abuja mamilioni ya dola ili imuue mwanaharakati huyo wa Kiislamu anayeshikiliwa kizuizini mwa miaka mitano sasa.

  • Shahriari: Kujitolea mhanga Sheikh Zakzaky kumevunja njama za maadui

    Shahriari: Kujitolea mhanga Sheikh Zakzaky kumevunja njama za maadui

    Dec 14, 2020 12:15

    Katibu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amesema kuwa, kujitolea muhanga Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ambaye anashikiliwa kizuizini kwa miaka kadhaa sasa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo kumevuruga na kuvunja njama za maadui.

  • Msomi wa Nigeria: Sheikh Ibrahim Zakzaky anashikiliwa kizuizini kwa amri ya Saudi Arabia

    Msomi wa Nigeria: Sheikh Ibrahim Zakzaky anashikiliwa kizuizini kwa amri ya Saudi Arabia

    Dec 14, 2020 02:55

    Sheikh Abdul-Hamid Bilo, mmoja wa wanazuoni wa Kishia nchini Nigeria amesema kuwa, Sheikh Ibrahm Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anashikiliwa kizuizini kwa amri ya watawala wa Kiwahabi wa Saudi Arabia.

  • Serikali ya Nigeria ikiwa pamoja na njama za Marekani, Saudi Arabia na Israel yaendelea kumshikilia Sheikh Zakzaky

    Serikali ya Nigeria ikiwa pamoja na njama za Marekani, Saudi Arabia na Israel yaendelea kumshikilia Sheikh Zakzaky

    Dec 12, 2020 11:22

    Serikali ya Nigeria ikiwa pamoja na njama za Marekani, utawala haramu wa Israel na utawala wa Saudia imekataa katakata kumuachilia huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Wananchi wa Nigeria wazidi kuishinikiza Serikali imwachilie huru Sheikh Zakzaky

    Wananchi wa Nigeria wazidi kuishinikiza Serikali imwachilie huru Sheikh Zakzaky

    Dec 02, 2020 07:06

    Wananchi wa Nigeria jana Jumanne, Disemba Mosi 2020, waliendelea na maandamano yao mjini Abuja ili kushinikiza kuachiliwa huru Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Kuendelea malalamiko ya Wanigeria katika kumtetea Sheikh Zakzaki

    Kuendelea malalamiko ya Wanigeria katika kumtetea Sheikh Zakzaki

    Nov 26, 2020 09:44

    Katika kuendelea kushikiliwa kinyume cha sheria Sheikh Ibrahim Zakzaki, Kiongozi wa Waislamu wa Nigeria, Waislamu wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano makubwa ya kuunga mkono na kutaka mwanzuoni huyo wa Kiislamu aachiliwe mara moja.

  • Wanigeria waandamana tena kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Wanigeria waandamana tena kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Nov 10, 2020 07:25

    Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika mji mkuu Abuja wakilalamikia kuendelea kushikiliwa kizuizini kiongozi wao pamoja na mkewe.

  • Hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe yazidi kuzorota

    Hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe yazidi kuzorota

    Oct 12, 2020 13:29

    Binti wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, hali ya kiafya ya baba na mama yake ni mbaya mno kutokana na kiongozi huyo kuzuiawa kupatiwa matibabi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS