Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Afya Duniani

  • AU yamtaka Trump atazame upya uamuzi wake wa kuiondoa Marekani katika shirika la WHO

    AU yamtaka Trump atazame upya uamuzi wake wa kuiondoa Marekani katika shirika la WHO

    Jan 23, 2025 02:50

    Umoja wa Afrika (AU) jana Jumatano ulimtolea wito Rais mpya wa Marekani, Donald Trump, kufikria tena uamuzi wake wa kuiondoa Washington katika Shirika la Afya Duniani (WHO).

  • WHO yasikitishwa na Marekani kujiondoa kwenye shirika hilo

    WHO yasikitishwa na Marekani kujiondoa kwenye shirika hilo

    Jan 22, 2025 02:49

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeelezea masikitiko yake kufuatia tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump la kuiondoa nchi hiyo kwenye shirika hilo. WHO imesema inatumai serikali mpya ya Washington itaangalia upya uamuzi wake huo.

  • Katika mwaka mmoja tu wa 2024, Israel ilibomoa kikamilifu Misikiti 815 na kuharibu 151 Ghaza

    Katika mwaka mmoja tu wa 2024, Israel ilibomoa kikamilifu Misikiti 815 na kuharibu 151 Ghaza

    Jan 06, 2025 03:06

    Katika mwaka uliomalizika wa 2024, wanajeshi wa utawala wa Kiziayuni wa Israel walibomoa kikamilifu Misikiti 815 na kuharibu mingine 151 katika Ukanda wa Ghaza. Hayo yameelezwa katika ripoti iliyotolewa na Wizara ya Wakfu na Masuala ya Dini ya Palestina.

  • WHO: Mashambulizi ya Israel dhidi ya hospitali na wafanyakazi wa tiba huko Gaza yanapasa kusitishwa

    WHO: Mashambulizi ya Israel dhidi ya hospitali na wafanyakazi wa tiba huko Gaza yanapasa kusitishwa

    Jan 05, 2025 07:47

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesisitiza ulazima wa kusitishwa mashambulizi ya Israel dhidi ya hospitali na wafanyakazi wa sekta ya afya na tiba katika Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Taasisi za kimataifa zisaidie kufikisha misaada ya kitiba Ukanda wa Gaza

    Hamas: Taasisi za kimataifa zisaidie kufikisha misaada ya kitiba Ukanda wa Gaza

    Dec 16, 2024 07:16

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeziomba taasisi za kimataifa zitume misaada ya kitiba na kitabibu kwa ajili ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.

  • WHO kuisaidia Rwanda kukabiliana na mripuko wa kwanza wa Marburg

    WHO kuisaidia Rwanda kukabiliana na mripuko wa kwanza wa Marburg

    Sep 30, 2024 02:25

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na Rwanda katika kupambana na mripuko wa kwanza wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Marburg (MVD).

  • WHO: Vifaru vya Israel vinawashambulia wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu

    WHO: Vifaru vya Israel vinawashambulia wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu

    Sep 18, 2024 11:26

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa vifaru vya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel vimewashambulia wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza ili kuwazuia kutoa misaada kwa wakimbizi na majeruhi wa Kipalestina.

  • WHO: Wanaoambukizwa zaidi Mpox ni wanaume kupitia ngono

    WHO: Wanaoambukizwa zaidi Mpox ni wanaume kupitia ngono

    Aug 15, 2024 07:44

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa, kesi 9 kati ya 10 za homa ya nyani (Mpox) zinawakabili wanaume, ambapo aghalabu yao wanaambukizwa kwa njia ya zinaa.

  • WHO: Dunia imetimiza nusu tu ya lengo la kimataifa la huduma muhimu za afya ifikapo 2025

    WHO: Dunia imetimiza nusu tu ya lengo la kimataifa la huduma muhimu za afya ifikapo 2025

    May 28, 2024 07:45

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amesema licha ya hatua kubwa ya upashaji habari, ni watu milioni 585 tu ambao watafikiwa na huduma muhimu za afya ifikapo mwaka 2025.

  • WHO: Mgogoro wa afya ya akili, ndilo janga 'lijalo' duniani

    WHO: Mgogoro wa afya ya akili, ndilo janga 'lijalo' duniani

    May 10, 2024 02:10

    Afisa mwandamizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametahadharisha kuwa, dunia ipo katika hatari ya kukumbwa na janga la matatizo ya afya ya akili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS