-
WHO: Mapigano yasitishwe DRC kwa angalau miezi sita ili kukomesha mripuko wa ebola
Aug 26, 2026 11:10Wakati mripuko wa ugonjwa wa ebola unaendelea kuenea kwa kasi ambayo haijawahi kushuhudiwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa wito wa kusitishwa mapigano kwa sababu za kibinadamu kwa muda wa angalau miezi sita, ili kuwezesha timu za afya kuwafikia watu walio katika hatari na kudhibiti kuenea kwa maambukizi ya ugonjwa huo hatari.
-
UN yaonya: Mlipuko wa Ebola nchini DR Congo 'unaongezeka kwa kasi' baada ya zaidi ya watu 2,500 kuaga dunia
Aug 22, 2026 03:29Umoja wa Mataifa ulitangaza jana Ijumaa kwamba virusi vya Ebola vinaenea kwa kasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuua zaidi ya watu 2,500, ukitoa wito wa kutolewa misaada zaidi na kuonya kwamba ufadhili uliotolewa hadi sasa utaisha ndani ya wiki chache.
-
WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Jun 13, 2026 02:37Shirika la Afya Duniani (WHO) jana Ijumaa lilitangaza kuwa mlipuko wa Ebola kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sasa unaenea katika maeneo mapya.
-
WHO: Uvutaji sigara unahatarisha afya ya watu bilioni 1.2 duniani kote
Jun 01, 2026 02:47Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza takwimu za kutisha na za kusikitisha kuhusu hatari ya uvutaji sigara, kwa mnasaba wa madhimisho ya kila mwaka ya Siku ya Kupiga Vita Tumbaku Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 31.
-
Mkurugenzi Mkuu wa WHO: Vifo vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola vyafika 220
May 26, 2026 11:11Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameeleza kuwa vifo 220 vinashukiwa kusababishwa na mlipuko wa sasa wa homa hatari ya Ebola.
-
WHO: Virusi vya Hanta si sawa na vya COVID-19
May 09, 2026 09:39Kufuatia mlipuko wa virusi vya Hanta au kwa kiingereza Hantavirus kuzua taharuki miongoni mwa umma kufuatia vifo vya watu watatu na wengine kadhaa wanapata matibabu, Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) limesisitiza kuwa mlipuko wa virusi huo kutoka meli ya kifahari ya kitalii ya MV Hondius si sawa na wa virusi vya COVID-19 na kwamba hatari ya virusi hivyo kuenea kwa jamii kwa ujumla bado ni ndogo sana.
-
WHO: Chanjo ya Malaria yaonyesha matumaini kwa watoto wa Cameroon
May 03, 2026 09:59Baadhi ya akina mama nchini Cameroon wamesema kuwa wameshuhudia maboresho makubwa katika afya za watoto wao baada ya kutolewa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa malaria.
-
Dkt Tedros: Kushambulia kwa mabomu hospitali na shule ni jinai ya kivita
Mar 15, 2026 05:12Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Duniani (WHO) amelaani vikali kitendo cha kushambuliwa kwa mabomu hospitali na shule, akisisitiza kuwa hujuma hizo si kitu kingine ghairi ya jinai za kivita.
-
Dkt. Ghebreyesus: Marekani ilitoa sababu za uongo kujiondoa katika WHO
Jan 26, 2026 00:18Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema, sababu zilizotajwa na Marekani kujiondoa kwenye shirika hilo la afya la Umoja wa Mataifa si za kweli na akatahadharisha kuwa uamuzi huo utaifanya dunia isiwe salama zaidi.
-
WHO: Vifo vilivyosababishwa na kipindupindu duniani kote katika mwaka 2024 viliongezeka kwa 50%
Sep 15, 2025 02:46Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa vifo vilivyosababishwa na ugonjwa wa kipindupindu viliongezeka kwa asilimia 50 duniani kote katika mwaka uliopita wa 2024 ikilinganishwa na mwaka wa kabla yake.