Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Afya Duniani

  • WHO: Wanaoambukizwa zaidi Mpox ni wanaume kupitia ngono

    WHO: Wanaoambukizwa zaidi Mpox ni wanaume kupitia ngono

    Aug 15, 2024 04:14

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa, kesi 9 kati ya 10 za homa ya nyani (Mpox) zinawakabili wanaume, ambapo aghalabu yao wanaambukizwa kwa njia ya zinaa.

  • WHO: Dunia imetimiza nusu tu ya lengo la kimataifa la huduma muhimu za afya ifikapo 2025

    WHO: Dunia imetimiza nusu tu ya lengo la kimataifa la huduma muhimu za afya ifikapo 2025

    May 28, 2024 04:15

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amesema licha ya hatua kubwa ya upashaji habari, ni watu milioni 585 tu ambao watafikiwa na huduma muhimu za afya ifikapo mwaka 2025.

  • WHO: Mgogoro wa afya ya akili, ndilo janga 'lijalo' duniani

    WHO: Mgogoro wa afya ya akili, ndilo janga 'lijalo' duniani

    May 09, 2024 22:40

    Afisa mwandamizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametahadharisha kuwa, dunia ipo katika hatari ya kukumbwa na janga la matatizo ya afya ya akili.

  • WHO yaonya: Kesi za saratani zitaongezeka kwa 77% kufikia 2050

    WHO yaonya: Kesi za saratani zitaongezeka kwa 77% kufikia 2050

    Feb 02, 2024 04:18

    Shirika la Afya Duniani WHO limetahadharisha kuwa, mzigo wa saratani duniani unaongezeka kwa kiwango cha kuogofya, na kwamba kesi za maradhi hayo hatarishi zinatazamiwa kuongezeka kwa asilimia 77 kufikia mwaka 2050.

  • WHO: Dunia ichukue hatua za dharura kuzuia maafa zaidi Gaza

    WHO: Dunia ichukue hatua za dharura kuzuia maafa zaidi Gaza

    Dec 28, 2023 03:09

    Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa mara nyingine tena limeeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya kutisha ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuchukua hatua za dharura za kukomesha 'maafa ya kibinadamu' yanayowakabili Wapalestina wa ukanda huo.

  • WHO yaonya: Sigara za kielektroniki zina athari mbaya, zidhibitiwe

    WHO yaonya: Sigara za kielektroniki zina athari mbaya, zidhibitiwe

    Dec 15, 2023 03:24

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema hatua za haraka zinapasa kuchukuliwa kudhibiti sigara za kielektroniki ili kulinda watoto pamoja na wasiovuta sigara na kupunguza madhara ya kiafya kwa watu.

  • Mkurugenzi Mkuu wa WHO atabiri mwisho wa janga la Corona

    Mkurugenzi Mkuu wa WHO atabiri mwisho wa janga la Corona

    Mar 14, 2023 22:53

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema janga la dunia nzima la ugonjwa wa Covid-19 litamalizika kufikia mwishoni mwa mwaka huu wa 2023.

  • WHO: Nchi nyingi hazina sera za kudhibiti matumizi makubwa ya chumvi

    WHO: Nchi nyingi hazina sera za kudhibiti matumizi makubwa ya chumvi

    Mar 10, 2023 03:35

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuwa, karibu robo tatu ya nchi wanachama wa taasisi hiyo hazina sera za kupunguza kwa lazima matumizi ya juu ya chumvi.

  • Guinea ya Ikweta imesajili mripuko wa kwanza wa Marbug, WHO

    Guinea ya Ikweta imesajili mripuko wa kwanza wa Marbug, WHO

    Feb 14, 2023 04:19

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Equatorial Guinea imethibitisha habari ya kukumbwa na mripuko wa kwanza wa ugonjwa wa virusi vya Marburg.

  • WHO: COVID-19 bado ni dharura ya afya ya umma duniani

    WHO: COVID-19 bado ni dharura ya afya ya umma duniani

    Jan 31, 2023 08:11

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema, ugonjwa wa COVID-19 bado ni tishio la afya ya umma duniani na kwa mantiki hiyo dharura itokanayo na janga hilo iliyotangazwa miaka mitatu iliyopita itaendelea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS