Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Kijasusi la Marekani CIA

  • Afisa wa zamani wa CIA: Mauaji ya Haniyeh yamefanyika kwa msaada wa Marekani na Uingereza

    Afisa wa zamani wa CIA: Mauaji ya Haniyeh yamefanyika kwa msaada wa Marekani na Uingereza

    Aug 03, 2024 04:28

    Larry C. Johnson, afisa mstaafu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA), amesema kuwa mauaji yalioyofanywa na Israel dhidi ya Ismail Haniyeh, mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas, yamevuka mstari mwekundu na kuongeza kuwa mauaji hayo yametekelezwa kwa taarifa na msaada wa Uingereza na Marekani.

  • Waislamu Marekani watoa wito wa kukomeshwa ujasusi dhidi ya jamii yao

    Waislamu Marekani watoa wito wa kukomeshwa ujasusi dhidi ya jamii yao

    Dec 31, 2021 08:18

    Kundi kubwa la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limetoa wito wa kusitishwa ujasusi unaofanya dhidi ya jamii ya wafuasi wa dini hiyo na kuchukuliwa hatua kali kwa wahusika wa vitendo hiyo.

  • Mbunge: Baadhi ya wakaguzi wa IAEA nchini Iran walikuwa wakiifanyia ujasusi CIA

    Mbunge: Baadhi ya wakaguzi wa IAEA nchini Iran walikuwa wakiifanyia ujasusi CIA

    Dec 02, 2020 02:31

    Mjumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge la Iran amesema idadi kubwa ya wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA waliokuwako hapa nchini walikuwa majasusi na walilipatia Shirika la Ujasusi la Marekani CIA taarifa za wanasayansi wa Iran.

  • CIA yakadhibisha madai ya Trump dhidi ya China kuhusu TikTok

    CIA yakadhibisha madai ya Trump dhidi ya China kuhusu TikTok

    Aug 10, 2020 04:24

    Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) limetangaza kuwa halina ushahidi wowote unaothibitisha kwamba serikali ya China inapata taarifa binafsi za raia wa Marekani kupitia mtandao wa kijamii wa TikTok.

  • HRW: Askari wa Afghanistan waliopewa mafunzo na CIA wanafanya jinai za kivita

    HRW: Askari wa Afghanistan waliopewa mafunzo na CIA wanafanya jinai za kivita

    Oct 31, 2019 11:31

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa, kikosi cha askari wa Afghanistan kilichopewa mafunzo na kufadhiliwa na shirika la ujasusi la Marekani CIA kimefanya uhalifu wa kivita kutokana na mbinu zao za kuvamia makazi ya raia nyakati za usiku, kupoteza watu, kushambulia vituo vya afya na kuua raia.

  • Mkuu wa zamani wa Shirika la CIA akosoa udhaifu wa Trump

    Mkuu wa zamani wa Shirika la CIA akosoa udhaifu wa Trump

    Sep 17, 2019 13:00

    Mkuu wa zamani wa Shirika la Kisasusi la Marekani (CIA), sambamba na kukosoa matamshi ya kupenda vita ya Rais Donald Trump wa Marekani, kufuatia shambulizi la ndege zisizo na rubani za Wayemen kwenye taasisi za mafuta za Saudia ARAMCO, amesema kuwa udhaifu wa kiuongozi wa rais huyo wa Marekani, umekuwa changamoto kimataifa.

  • Nyaraka za CIA zinazohusiana na mauaji ya Khashoggi zafichuliwa

    Nyaraka za CIA zinazohusiana na mauaji ya Khashoggi zafichuliwa

    Aug 18, 2019 08:52

    Shirika la ujasusi la Marekani CIA limefichua baadhi ya nyaraka zinazohusiana na mauaji ya mwandishi na mkosoaji wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi.

  • Afisa wa zamani wa CIA: Trump amebomoa muungano wa nchi za Magharibi

    Afisa wa zamani wa CIA: Trump amebomoa muungano wa nchi za Magharibi

    Jul 29, 2019 04:20

    Afisa wa zamani wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amesema kuwa rais wa nchi hiyo amebomoa muungano wa nchi za Magharibi.

  •  Pompeo: Marekani itawanyima viza majaji wa mahakama ya ICC

    Pompeo: Marekani itawanyima viza majaji wa mahakama ya ICC

    Mar 16, 2019 04:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, nchi hiyo itawawekea marufuku ya viza ya kuingia Marekani maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai watakaotaka kuwasaili na kuwachunguza wanajeshi wa nchi hiyo wanaotuhumiwa kufanya jinai za kivita huko Afghanistan.

  • Trump atilia shaka ripoti ya CIA kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Trump atilia shaka ripoti ya CIA kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Nov 18, 2018 14:09

    Rais Donald Trump ametilia shaka ripoti iliyovuja ya Shirika la Ujasusi la Marekani CIA kwamba Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman aliamuru mauaji ya mpinzani wa utawala huo wa kifalme, Jamal Khashoggi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS