Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Msamaha Duniani

  • Amnesty yakosoa ukandamizaji wa serikali ya Misri dhidi ya wapinzani

    Amnesty yakosoa ukandamizaji wa serikali ya Misri dhidi ya wapinzani

    Feb 10, 2018 16:33

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa ukandamizaji unaofanywa na maafisa wa serikali ya Misri dhidi ya wapinzani wa serikali ya nchi hiyo.

  • Ripoti ya Amnesty International kuhusu mauaji ya watu karibu 400 yaliyofanywa na Boko Haram

    Ripoti ya Amnesty International kuhusu mauaji ya watu karibu 400 yaliyofanywa na Boko Haram

    Sep 05, 2017 07:07

    Shirika la Msamaha Duniani Amnesty International limetangaza kuwa watu karibu 400 wameuawa katika mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram kuanzia mwezi Aprili mwaka huu huko Nigeria na Cameroon.

  • Watu zaidi ya 100 watiwa mbaroni Kongo

    Watu zaidi ya 100 watiwa mbaroni Kongo

    Aug 02, 2017 14:25

    Shirika la Msamaha Duniani Amnesty International limeripoti kuwa watu zaidi ya mia moja wametiwa mbaroni katika maandamano ya amani yaliyofanyika juzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kupinga hatua ya Rais Joseph Kabila ya kusalia madarakani.

  • Amnesty International: EU inapaswa kubeba jukumu la wahamiaji wa Libya

    Amnesty International: EU inapaswa kubeba jukumu la wahamiaji wa Libya

    Jul 07, 2017 03:51

    Shirika la Msamaha la Kimataifa (Amnesty International) limesema kuwa, Umoja wa Ulaya (EU) unapaswa kubeba lawama za hali mbaya ya wahajiri nchini Libya.

  • Kuhukumiwa kifo raia katika nchi tatu za Kiarabu kwa makosa wanayolazimishwa kukiri baada ya kuteswa

    Kuhukumiwa kifo raia katika nchi tatu za Kiarabu kwa makosa wanayolazimishwa kukiri baada ya kuteswa

    Mar 04, 2017 05:58

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa hukumu ya kifo katika nchi za Bahrain, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimetekelezwa baada ya watuhumiwa kulazimika kukiri makosa baada ya kuteswa.

  • Serikali ya Uganda yakanusha tuhuma za kutenda mauaji ya kiholela

    Serikali ya Uganda yakanusha tuhuma za kutenda mauaji ya kiholela

    Nov 30, 2016 03:18

    Serikali ya Uganda imekanusha tuhuza dhidi yake kwamba imefanya mauaji ya kiholela nchini humo.

  • Amnesty yaikosoa Kenya kwa kuwafukuza wakimbizi kutoka Somalia

    Amnesty yaikosoa Kenya kwa kuwafukuza wakimbizi kutoka Somalia

    Nov 15, 2016 14:15

    Shirika la haki za binadmau la Amnesty International limeikosoa serikali ya Kenya kwa kuwalazimisha wakimbizi kutoka Somalia kurejea katika nchi yao inayokumbwa na vita na hivyo kuhatarisha maisha yao.

  • AI: Muungano wa kijeshi unaoongozwa na US umeua raia 300 Syria

    AI: Muungano wa kijeshi unaoongozwa na US umeua raia 300 Syria

    Oct 27, 2016 10:24

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa raia wapatao 300 wa Syria wameuliwa katika mashambulio 11 ya anga yaliyofanywa na Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani.

  • Amnesty International yakosoa kukandamizwa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain

    Amnesty International yakosoa kukandamizwa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain

    Sep 02, 2016 04:16

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limekosoa na kulaani ukandamizaji mkubwa unaofanywa na utawala wa Bahrain dhidi ya Waislamu wa Kishia wa nchi hiyo.

  • Amnesty yatiwa wasiwasi na ukandamizaji na kamatakamata Uturuki

    Amnesty yatiwa wasiwasi na ukandamizaji na kamatakamata Uturuki

    Jul 25, 2016 08:06

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza masikitiko yake juu ya kukithiri ukandamizaji, kamata kamata na ukiukaji wa haki za binadamu nchini Uturuki, baada ya jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililofeli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS