Jan 19, 2023 10:19
Umoja wa Afrika umesema kwamba umetiwa matumaini na stratejia inayotumia na Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) katika operesheni zake za kulisambaratisha kundi la kigaidi la al-Shabaab, haswa kwa kutilia maanani mafanikio makubwa liliyoyapata katika kipindi cha wiki moja iliyopita.