Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Viongozi wa Somalia washindwa kukubaliana juu ya ajenda ya mkutano muhimu wa uchaguzi

    Viongozi wa Somalia washindwa kukubaliana juu ya ajenda ya mkutano muhimu wa uchaguzi

    Apr 05, 2021 08:24

    Viongozi wa Somalia wameshindwa kufikia makubaliano juu ya ajenda kuu ya mkutano muhimu wa uchaguzi, suala ambalo limedhihirisha tena ufa uliopo kati ya makundi ya kisiasa ya Somalia.

  • Magaidi 76 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Magaidi 76 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Apr 04, 2021 06:32

    Jeshi la Somalia limesema kuwa limeangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika operesheni ya kiusalama kusini mwa Somalia.

  • Askari wa Somalia wazima hujuma za al-Shabaab dhidi ya kambi za jeshi

    Askari wa Somalia wazima hujuma za al-Shabaab dhidi ya kambi za jeshi

    Apr 03, 2021 05:12

    Jeshi la Taifa la Somalia limetangaza kuwa, askari wa nchi hiyo wamefanikiwa kuzima mashambulio ya kundi la kigaidi la al-Shabaab yaliyolenga kambi mbili za kijeshi kusini mwa nchi.

  • Katibu Mkuu wa UN ana wasiwasi kuhusu mkwamo wa kisiasa Somalia

    Katibu Mkuu wa UN ana wasiwasi kuhusu mkwamo wa kisiasa Somalia

    Mar 26, 2021 03:22

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mkwamo wa kisiasa unaondelea nchini Somalia kuhusu uchaguzi mkuu licha ya kufanyika duru kadhaa za majadiliano miongoni mwa wadau wa kisiasa nchini humo katika ngazi zote ni suala linalomtia wasiwasi mkubwa.

  • Raia kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la kombora mjini Mogadishu, Somalia

    Raia kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la kombora mjini Mogadishu, Somalia

    Mar 25, 2021 22:26

    Raia wasiopungua watatu wameuawa na wengine watano wamejeruhiwa baada ya makombora kadhaa kulenga ofisi kuu za vikosi vya Umoja wa Mataifa na vya Umoja wa Afrika vinavyolinda amani nchini Somalia (AMISOM) zilizoko katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Somalia yazindua kampeni ya kitaifa ya utoaji chanjo ya Corona

    Somalia yazindua kampeni ya kitaifa ya utoaji chanjo ya Corona

    Mar 17, 2021 01:10

    Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo wa Somalia hapo jana alipokea chanjo ya Corona ya shirika la AstraZeneca la Uingereza, kuashiria kuanza kwa kampeni ya kitaifa ya utoaji wa chanjo ya Corona katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • UN yatilia mkazo umuhimu wa kufanyika uchaguzi  kama ilivyopangwa nchini Somalia

    UN yatilia mkazo umuhimu wa kufanyika uchaguzi kama ilivyopangwa nchini Somalia

    Mar 13, 2021 23:09

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kuitaka serikali ya Somalia kuitisha uchaguzi mkuu kama ilivyopangwa na bila ya kuuchelewesha.

  • Watu wasiopungua 20 wauawa, 30 wajeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea Mogadishu, Somalia

    Watu wasiopungua 20 wauawa, 30 wajeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea Mogadishu, Somalia

    Mar 06, 2021 00:03

    Watu wasiopungua 20 wameuawa na wengine 30 wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu lililotegwa garini uliotokea nje ya mkahawa mmoja ulioko karibu na bandari katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Magaidi 52 wa al-Shabaab wauawa katika shambulio dhidi ya jela nchini Somalia

    Magaidi 52 wa al-Shabaab wauawa katika shambulio dhidi ya jela nchini Somalia

    Mar 05, 2021 08:59

    Wanamgambo wasiopungua 52 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa katika shambulio la wapiganaji hao dhidi ya jela moja iliyoko katika jimbo la Puntland,kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wanasiasa wa upinzani Somalia waakhirisha maandamano dhidi ya serikali

    Wanasiasa wa upinzani Somalia waakhirisha maandamano dhidi ya serikali

    Feb 26, 2021 09:20

    Wanasiasa wa upinzani nchini Somalia wameakhirisha maandamano yao waliyokuwa wamepanga kufanya leo Ijumaa baada ya Waziri Mkuu kuingilia kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS