Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Wabunge wa Somalia wapitisha kwa kauli moja uamuzi wa kurejesha upigaji kura wa uwakilishi

    Wabunge wa Somalia wapitisha kwa kauli moja uamuzi wa kurejesha upigaji kura wa uwakilishi

    May 01, 2021 21:53

    Baraza dogo la bunge la Somalia limepitisha kwa kauli moja uamuzi wa kurejesha makubaliano yaliyofikiwa Septemba mwaka jana yatakayoruhusu nchi hiyo kuendelea na utaratibu wa upigaji kura kwa njia ya isiyo ya moja kwa moja ya uwakilishi.

  • Shambulio la bomu laua, kujeruhi watu 20 Mogadishu, Somalia

    Shambulio la bomu laua, kujeruhi watu 20 Mogadishu, Somalia

    Apr 28, 2021 21:55

    Watu wasiopungua saba wameuawa huku wengine zaidi ya 11 wakijeruhiwa baada ya gari lililokuwa limesheheni mabomu kuripuka nje ya makao makuu ya polisi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Taharuki yatanda Somalia, risasi zarindima Mogadishu; makazi ya rais wa zamani yashambuliwa

    Taharuki yatanda Somalia, risasi zarindima Mogadishu; makazi ya rais wa zamani yashambuliwa

    Apr 25, 2021 22:50

    Hali ya taharuki imetanda nchini Somalia huku milio ya risasi ikirindima katika mji mkuu Mogadishu, baada ya maafisa usalama kukabiliana vikali na 'waasi' wanaopinga kurefushwa muda wa uongozi wa Rais wa nchi hiyo, Mohamed Abdullahi Farmaajo.

  • Umoja wa Afrika walaani kurefushwa kipindi cha uongozi wa Rais Farmaajo wa Somalia

    Umoja wa Afrika walaani kurefushwa kipindi cha uongozi wa Rais Farmaajo wa Somalia

    Apr 23, 2021 22:50

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limelaani uamuzi wa kurefusha kipindi cha uongozi wa Rais Mohamed Abdullahi Farmaajo wa Somalia.

  • AU: Tuko tayari kusimamia mazungumzo ya kukwamua mgogoro wa kisiasa Somalia

    AU: Tuko tayari kusimamia mazungumzo ya kukwamua mgogoro wa kisiasa Somalia

    Apr 22, 2021 22:02

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limesema liko tayari kuandaa na kusimamia mazungumzo ya kukwamua mgogoro wa kisiasa unaoikabili Somalia.

  • Nigeria yatuma makumi ya askari polisi wake nchini Somalia

    Nigeria yatuma makumi ya askari polisi wake nchini Somalia

    Apr 19, 2021 03:17

    Kikosi cha askari polisi 144 wa Nigeria kimewasili nchini Somalia, kwenda kupiga jeki jitihada za kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Jeshi la Somalia lachukua udhibiti wa ngome za magaidi wa al-Shabab

    Jeshi la Somalia lachukua udhibiti wa ngome za magaidi wa al-Shabab

    Apr 08, 2021 08:42

    Jeshi la Somalia (SNA) limetangaza kuchukua udhibiti wa kambi kadhaa za kundi la kigaidi la al-Shabab huko Galgaduud, katikati mwa Somalia.

  • Viongozi wa Somalia washindwa kukubaliana juu ya ajenda ya mkutano muhimu wa uchaguzi

    Viongozi wa Somalia washindwa kukubaliana juu ya ajenda ya mkutano muhimu wa uchaguzi

    Apr 05, 2021 08:24

    Viongozi wa Somalia wameshindwa kufikia makubaliano juu ya ajenda kuu ya mkutano muhimu wa uchaguzi, suala ambalo limedhihirisha tena ufa uliopo kati ya makundi ya kisiasa ya Somalia.

  • Magaidi 76 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Magaidi 76 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Apr 04, 2021 06:32

    Jeshi la Somalia limesema kuwa limeangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika operesheni ya kiusalama kusini mwa Somalia.

  • Askari wa Somalia wazima hujuma za al-Shabaab dhidi ya kambi za jeshi

    Askari wa Somalia wazima hujuma za al-Shabaab dhidi ya kambi za jeshi

    Apr 03, 2021 05:12

    Jeshi la Taifa la Somalia limetangaza kuwa, askari wa nchi hiyo wamefanikiwa kuzima mashambulio ya kundi la kigaidi la al-Shabaab yaliyolenga kambi mbili za kijeshi kusini mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS